Waliompa kuongoza mapambano kanda ya ziwa hawa kukosea jamaa anapiga kazi...
Waliompa kuongoza mapambano kanda ya ziwa hawa kukosea jamaa anapiga kazi...
endelea kulew aan historia,utakapokuja kuamka sisi tutakuwa tunaongoza nchi,polehata mrema agustino alisukumwa kwenye gari lakini hakupata urais
Huwa nafurahishwa sana na utendaji kazi huyu Kamanda Mawazo, nimejaribu kuitafuta picha yake bila mafanikio,
Please kama kuna yeyote mwenye picha ya huyu Kamanda Mawazo aieweke hapa ili nipate kuiridhisha nafsi yangu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema na watu wake.
Ha!! Mwizi wa simu yupo Huku tumchome jamanihata mrema agustino alisukumwa kwenye gari lakini hakupata urais
Hata wengine hawajijui wanatumiwa kama kopo la chooni linavyotumika
Kama ulikua hujui Mawazo ndo Codinator wa M4C kanda ya ziwa sasa wewe ulitaka akakomae wapi?Mada ilikuwa nini manake naona ameamua kukomaa na Kanda ya ziwa
Kamanda Mawazo ndio nani?
Vp mmeo nape mzima?hata mrema agustino alisukumwa kwenye gari lakini hakupata urais
Wow!! akaribie bk..afike karagwe pia.
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.
Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.
Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke
Maguzu
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.
Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.
Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke
Maguzu
mwenye namba kamanda mawazo anipatie,nataka nimpongeze na ---- issue