Mwanza: Maandamano ya M4C yafunga barabara kuu

Mwanza: Maandamano ya M4C yafunga barabara kuu

THANX TO ALLAH, hakukuwa na vitu vyenye ncha kali!

POLICCM hawakutumwa.vinginevyo ungeskia issue za ''Kitu kizito vchenye ncha kali kimerushwa toka mbali na wananchi''
 
Tunaitaji hii movement 4 Changel ifike maeneo ya keko machungwa kitongoji kipo D'salaam lakini wajinga wengi sana. Wamezoea kuishi maisha ya wazazi wao. [baba elimu yake ndogo unataka uwe hivyo] Vivi chadema karibuni sana keko machungwa.

Dayani , usiwe na shaka , mipango ya kuja Keko Machungwa inafanyika , tunafahamu kwamba hivyo Viroba na hizo taarabu za hapo DEALER'S PUB zinapumbaza vijana hapo ! tutavuruga kuanzia AKIDA hadi DUKA LA MWISHO ,Usijali , Siku za Juma Mkenga kuwa kiongozi hapo Machungwa zinahesabika , oooh sijui huyu ni Mtoto wa nyumbani , hiyo sisi hatujali ! Lazima ang'oke , Kuna taarifa Imetufikia Mezani kwetu kwamba wanajenga ofisi mpya nyumbani kwa Riziwan, tetesi zinasema lengo lao ni kudhulumu ule uwanja pale mbele ya nyumba ya Mzee Mwakipagala ili wapate space ya Kulaza Magari , Tutahakikisha kwamba hawadhulumu uwanja wa mtu .
 
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu

Huyu jamaa anajitolea sana kwa kazi ya M4C natamani sisi wengine tungemuunga mkono hata kwa mali zetu pia. Napendekeza viongozi wa chadema waweke namba za makamanda kama huyu ambao wamejitolea kwa ajili ya M4C ili mtu ukiwa na chochote unaweza kuwarushia japo maji ya kilimanjaro wapoze kiu na waendelee na mapambano!
 
kwa mwendo huu magamba 2015 watafika salama lakini??
Kwa maana kila kona ya nchi ni mikiki mikiki..!
 
huyu mawazo ni noma aisee,ndani ya muda mfupi ametokea kukubalika sana na watanzania wa pande zote za nchi,naombeni wasifu wake wadau
 
chadema raha sana huyo ni kamanda mawazo anafuta shazi hivyo watani wa jadi ofisi na uongozi wote,wasanii na promo ya kufa mtu bado uwanja unapwaya


chezea mwanza weye cheki hapa chini hata diwani tu hfunika mbaya:



 
See below kwa wasioijua Nguvu ya CDM Mwanza





kirumba4.jpg



kirumba1.jpg
 
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu



Tulishasema hakanyagwi hata sisimizi,kila mmoja ana haki ya kuishi
 
Wow!! akaribie bk..afike karagwe pia.

Wanakagera amkeni mabadiliko yaja. CCM imewadanganya vyakutosha sasa semeni wote basi. CHADEMA ndio njia sahihi ya kulikomboa taifa hili kutoka ndani ya minyororo na ukandamizaji wa ccm na serikali yake.
 
umoja na ushirikiano wetu kama wanachadema na watanzania wengine ni jambo la msingi sana katika harakati za ukombozi wa taifa letu
 
View attachment 80831
Kamanda Mawazo, Lema na Ole Millya..Mawazo ni alievaa kombat nyuma ya lema..Wakiwa kwenye uwanja wa NMC wakijiandaa kumvamia Ole Sendeka miezi michache iliyopita...

Thanx kwa photo Mkuu. Dah! Kumbe jamaa ni Fighter wa ukweli. Hiyo squad ndani ya choppa imekamilika; ndio maana Nape na timu uchwara yake hawaishi kutokwa mapovu kila uchao.

Makamanda walio serious kama hawa huwezi kusikia wakibwatuka ovyo mara "kuonesha nia" kwenye jimbo fulani, mara sijui upuuzi gani; wao ni kazi tu mengine chama kitawaomba wakati ukiwadia.
 

Thanx kwa photo Mkuu. Dah! Kumbe jamaa ni Fighter wa ukweli. Hiyo squad ndani ya choppa imekamilika; ndio maana Nape na timu uchwara yake hawaishi kutokwa mapovu kila uchao.

Makamanda walio serious kama hawa huwezi kusikia wakibwatuka ovyo mara "kuonesha nia" kwenye jimbo fulani, mara sijui upuuzi gani; wao ni kazi tu mengine chama kitawaomba wakati ukiwadia.
Waliompa kuongoza mapambano kanda ya ziwa hawa kukosea jamaa anapiga kazi...
 
Back
Top Bottom