dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,425
Kamanda Mawazo ndio nani?
Mkuu hiki ni kifaa fulani cha maangamizi kinatifua mbaya; chenyewe ni pori kwa pori tu nadra sana kuonekana mijini; kikionekana kinaacha gumzo na taharuki.
Naona Kamandi Kuu (the Pentagon) imeamua kicheze na Kanda ya Ziwa zaidi. Hizi namba tatu - Lema, Mawazo, na Bananga ni noma. Wakuu, kama alivyoomba mdau hapo juu, tafadhali aliye na picha ya huyu Kamada atuwekee hapa.