Uko sahihi. Inaweza ikawepo sema haijulikani kwa jina hilo. Sehemu nyingine wanaita “mikate ya wenye kisukari”😄. Yani ukiulizia brown bread hawafahamu.Kuto kujua kwao, haimaanishi bidhaa hiyo hamna, wao huenda Dukani kununua mkate, lakini hawajaulizia mkate wa namna hiyo.
Mimi nipo Dar, ukiniuliza swali la wapi utapata mkate wa namna hiyo, sina jibu, kwa sababu haijawahi kuwa hitaji langu.
Kweli wengi wanaijua kwa mikate ya wagonjwa wa sukariUko sahihi. Inaweza ikawepo sema haijulikani kwa jina hilo. Sehemu nyingine wanaita “mikate ya wenye kisukari”😄. Yani ukiulizia brown bread hawafahamu.
Mimi nimekosa Nutella
Nawazingua 😂😂😂Kuna u turn hata bonasera supermarkets sidhan kama vinakosekana hivyo wa kishuaaaaaaa
Hoja ni kuwa, mwanza hakuna mikate ya namna hiyo, ili kukazia hoja yake, akaandika hata super Markets za mwanza hawaijui bidhaa hiyo.Hoja ni kuwa hata supermarkets hawaijui hiyo mikate ya brown
Huoni kuwa kwa Arusha bidhaa kama hizo lazma zipatikane kwa sababu ya utalii?unamuuzia msukima.brown bread aupeleke wap?ni kama na wao walivyo na vya kwao ila Arusha havipo...ni nadra sana kuipata michembe au kichuri ukiwa ArushaJuzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Hapo sawa maana Nutella kwa viduka vya wapemba hapo Mwanza zipo za kumwaga tu [emoji3][emoji3][emoji3]Nawazingua [emoji23][emoji23][emoji23]
Yawezekana mkuu ipo sema jina ndo kaliweka k malkia zaid likawachanganya wasukuma...yawezkana inatambulika kama mikate ya ku.........mayo....ila yeye katumia neno la ushuaniMkuu ujatafta tu ila ipo kibao mimi mzee wngu anaumwa kisukari na kila siku anatumia brown au hujatafta mwanza mjini
Jiji la Mwanzo limejaa Wasukuma ambao hawajui kabisa brown bread ni kitu gani.
Mimi nilitaka kununua Pound sterling ilinichukua siku tatu kuzipata,Mwanza naipenda sana ukiondoa issue ndogondogo kama za Brown bread Mwanza patamu alafu bata bei poaaaaa tu.Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Mwanza breakfast nI viazi vitamu +karanga ...ndo maana majitu ya huku kwel ni miraba minneWakati wewe unaona hiyo mikate ni mizuri kwa afya wao wanaona supu ya samaki, ugali n.k ni vyakula vizuri kwa afya zao.
Alafu unakulaje mkate Mwanza nawewe, Yani unazunguka mji mzima unatafuta mkate???
Ukija huku kula ugali wa mtama na samaki, ukirudi Dar Shemeji atakushukuru sana 😂😂
Kwamba Banks zote zinazopatikana Mwanza hazikuwa na Pound?Mimi nilitaka kununua Pound sterling ilinichukua siku tatu kuzipata,Mwanza naipenda sana ukiondoa issue ndogondogo kama za Brown bread Mwanza patamu alafu bata bei poaaaaa tu.
UrongoHoja ni kuwa hata supermarkets hawaijui hiyo mikate ya brown
Na hakuna vitambi vya ovyo ovyo maana wanakula wanga na samaki lakini wanachoma mafuta kwa kazi ngumu.Wanaume wa Mwanza na waheshimiwe [emoji3][emoji3]Mwanza breakfast nI viazi vitamu +karanga ...ndo maana majitu ya huku kwel ni miraba minne
Ndiyoo imenichukua siku tatu kununua pounds hata mwenyewe nilishangaa.Kwamba Banks zote zinazopatikana Mwanza hazikuwa na Pound?
Nakubaliana na weweNa pia afya zao zipo njema,wanakula fresh Samaki kutoka ziwani tena wa kuchemsha au kuchoma na ugali wa dona uliochanganywa na unga wa muhogo.Saa ngapi wapate magonjwa ya uhitaji hata kuchagua vyakula.
Basi ulikuta tu pengine kuna uhaba kwa kipindi hicho.Kwa mzunguko mkubwa wa pesa Mwanza pesa za kigeni ni rahisi sana upatikanaji wake.Ndiyoo imenichukua siku tatu kununua pounds hata mwenyewe nilishangaa.