Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

hizo roads za arusha ingawa vifinyu kajenga nani?! au mlichangisha kwa balozi mkanunua lami mkazijenga?!
mbona sasa hawakuzileta hizo roads mwanza kwakuwa ni jiji la pili kama ulivyosema...
 
Daaaaah
Mangosha yamewachapa kinoma hawa Wachaga waliohamia umasaini. Arusha mji umeizidi Iringa,Dodoma hata Mbeya Kidogo sana aisee
 
mbona sasa hawakuzileta hizo roads mwanza kwakuwa ni jiji la pili kama ulivyosema...

bunge lilipitisha ziende arusha na hata mwanza ilipitishiwa nyingi zaidi, lakin hiz za uhuru na muungano hazipo kwenye bajeti ya serikali hivyo basi zikatolewa kwenye mambo ya kipuuzi na kuletwa kwenye mambo ya msingi ya ujenzi wa barabara za miji hii mikuu miwili ya tz, ujinga ingekuwa kuzitoa kwenye mambo ya kipuuzi ya sherehe na kuzipeleka kwenye ujezi wa vimiji vidogovidogo vya kipuuzi kama arusha, ila serikali iliona hilo ndo
maana haikufanya
 
bunge lilipitisha ziende arusha na hata mwanza ilipitishiwa nyingi zaidi, lakin hiz za uhuru na muungano hazipo kwenye bajeti ya serikali hivyo basi zikatolewa kwenye mambo ya kipuuzi na kuletwa kwenye mambo ya msingi ya ujenzi wa barabara za miji hii mikuu miwili ya tz, ujinga ingekuwa kuzitoa kwenye mambo ya kipuuzi ya sherehe na kuzipeleka kwenye ujezi wa vimiji vidogovidogo vya kipuuzi kama arusha, ila serikali iliona hilo ndo
maana haikufanya
ok Arusha ni kimji cha kipuuzi kama usemavyo.......
ila kumbuka jiji la Arusha lina heshima yake kwa taifa na EAC kwa ujumla hivyo basi sipo hapa kwaajili ya kukubali kwamba jiji hili ndo best kushinda lile ila niko hapa kwaajili ya heshima iliyopo kwa jiji la Arusha....na heshima hiyo mwanza hakuna......ukweli ndo huo!
 
mwanza
114444596.jpg
 
ok Arusha ni kimji cha kipuuzi kama usemavyo.......
ila kumbuka jiji la Arusha lina heshima yake kwa taifa na EAC kwa ujumla hivyo basi sipo hapa kwaajili ya kukubali kwamba jiji hili ndo best kushinda lile ila niko hapa kwaajili ya heshima iliyopo kwa jiji la Arusha....na heshima hiyo mwanza hakuna......ukweli ndo huo!
Ndizo favour za kiserikali pia, makampuni kibao na mashirika ya kifedha kama nssf, nhc n.k wanajenga satellite city zao Arusha ila mwanza inajengwa na wazawa na bado it is far ahead of Arusha
 
Ndizo favour za kiserikali pia, makampuni kibao na mashirika ya kifedha kama nssf, nhc n.k wanajenga satellite city zao Arusha ila mwanza inajengwa na wazawa na bado it is far ahead of Arusha
nilichokua nakijibu ni sababu za kuhusu pesa za sherehe za muungano kupelekwa mwanza nadhani umeninukuu vibaya!..
 
Acheni makelele wekeni pcha za upcoming projects currently U/C hapo ndo itakua rahisi kufanya tathmini ya ukuaji wa mji japo kwa ku count hizo projects across all sectors from social to economic infrastructures sio old fashioned picha,tunataka ku assess growth rate sio beauty
 
Samaki wameisha mwanza,tanzanite bado inachimbwa arusha
 
ok Arusha ni kimji cha kipuuzi kama usemavyo.......
ila kumbuka jiji la Arusha lina heshima yake kwa taifa na EAC kwa ujumla hivyo basi sipo hapa kwaajili ya kukubali kwamba jiji hili ndo best kushinda lile ila niko hapa kwaajili ya heshima iliyopo kwa jiji la Arusha....na heshima hiyo mwanza hakuna......ukweli ndo huo!
We si ndio umesema wanajenga wazawa wa Arusha, EAC imetokea wapi tena...?!

Hivi ile Barabara ya Sakina-Tengeru ni wazawa wapi wanaojenga...?!

na yale maghorofa ya NSSF na PPF ni wazawa gani wa Arusha walioyajenga...?!

na AICC ni mzawa gani aliyejenga...?!

vile vyuo ni mzawa gani alivijenga...?!
 
Back
Top Bottom