Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hili dude liko too classic, wajitahidi hata mazingira yanafanie vile yalivyo kwenye render. Hii ni art of architecture ya majabali ukiicheki kwa kina.
Ndio ni majabali ila sijajua litakuwa na uwezo wa kuchukua abiria wangap
 
Ila Mwanza napo pazuri,lkn Arusha ni pazuri zaidi,maana nikifika Arusha huwa najihisi kama vile siko Tanzania niko nje ya nchi,wakati nikiwa Mwanza najiona niko mji flani mzuri ila ni hapa hapa Tanzania...
 
Aisee asubuh nimepita maeneo ya kuanzia voil had junction ya pamba road kwa gari mbona panawezekana sana kujenga njia nne vizur mnoo sehemu ambayo haiwezekaniki ni kuanzia pamba road kwenda had soko kuu pamoja na ppf plaza
Vizuri kabisa naona tunaanza kuelewana.

Ukijenga njia nne mpaka junction ya Pamba road. Kama kuna traffic kubwa mjini basi Kenyatta Road inakuwa one way kuingiza magari mjini, Pamba road inakuwa one way kutoa magari mjini.
Ile round about ya pale mwanza hoteli vunja weka traffic lights
 
Ila Mwanza napo pazuri,lkn Arusha ni pazuri zaidi,maana nikifika Arusha huwa najihisi kama vile siko Tanzania niko nje ya nchi,wakati nikiwa Mwanza najiona niko mji flani mzuri ila ni hapa hapa Tanzania...
Arush n mji wa kitalii na exposure na interaction m kubw kutok nje na mjii mikubw East Africa na investments za private sector n kubw hasa hotels ata ujenganj wa majengo n tofaut n marefu shida mwnz inajengw san na wakaz wake private sector ndo kidog zimeanz kuj jpo sio san n km mji fulan umetengw ila n mzur san naturalnaturally umekosa tu uwekezaj wa maan hasa city centre na arush n pale city centre ndo pazur ila mitaan hapafai ila cbd n uhakika
 
Arush n mji wa kitalii na exposure na interaction m kubw kutok nje na mjii mikubw East Africa na investments za private sector n kubw hasa hotels ata ujenganj wa majengo n tofaut n marefu shida mwnz inajengw san na wakaz wake private sector ndo kidog zimeanz kuj jpo sio san n km mji fulan umetengw ila n mzur san naturalnaturally umekosa tu uwekezaj wa maan hasa city centre na arush n pale city centre ndo pazur ila mitaan hapafai ila cbd n uhakika
Arusha mjini Kati ni pazuri ofcoz na ni eneo dogo Sana, ila Mwanza ni kubwa mno mgeni yoyote yule anaweza ifananisha na Arusha Sababu hawezi pata muda kuizunguka Mwanza nzima kuimaliza, imagine muda anaotumia mtu kutoka nyashishi mpaka nyamhongolo, ni zaidi ya lisaa limoja, sasa Hilo lisaa kwa Arusha ukianzia mji unapoanzia ndani ya lisaa limoja utajikuta ushafika Moshi mjini unaitafuta same
 
Watu wa mwanza tunataman . majengo makubwa marefu lakini miji ya ulaya Ina majengo mafupi lakini yanavutia na kupendeza
Huwa nashangaa sana waafrika wanadhani uzuri wa miji ni majengo marefu tu waangalie miji kama barcelona na miji ya ujerumani ilivyo, zina majengo mafupi lakini yanapendeza sana kuliko ata majengo marefu.
 
Ila Mwanza napo pazuri,lkn Arusha ni pazuri zaidi,maana nikifika Arusha huwa najihisi kama vile siko Tanzania niko nje ya nchi,wakati nikiwa Mwanza najiona niko mji flani mzuri ila ni hapa hapa Tanzania...
utakuwa umechanganya madesa, humu hatutaki kushindanisha miji tunataka mambo ya msingi yahusuyo jiji letu la Mwanza.
 
Nina was was hii project itapunguzwa , badala yake yakajengwa majengo ya kawaida Sana, project kama hii inahtajika maamuz ya kibabe haswa kuiweka on air , sioni kiongozi wa kukaza
wachina nakuhakikishia wanajenga hiyo station kama ilivyo na uzuri wanafanya design and build philosophy.
 
Arush n mji wa kitalii na exposure na interaction m kubw kutok nje na mjii mikubw East Africa na investments za private sector n kubw hasa hotels ata ujenganj wa majengo n tofaut n marefu shida mwnz inajengw san na wakaz wake private sector ndo kidog zimeanz kuj jpo sio san n km mji fulan umetengw ila n mzur san naturalnaturally umekosa tu uwekezaj wa maan hasa city centre na arush n pale city centre ndo pazur ila mitaan hapafai ila cbd n uhakika
Haya malinganisho ingekuwa bora ungeyapeleka kwenye uzi husika.
 
Back
Top Bottom