Rajab Endless
Senior Member
- Oct 2, 2019
- 121
- 167
Ata kama ni miaka 10 ipo siku itatembea hadi sasa karibia Trillion 10 zimeishalala ardhini kwenye huo mradi njia pekee ya kufanya usifanye kazi labda upigwe bom...Hivi hiyo treni ya umeme naiona Kama ndoto tu, hivi ndani ya miaka 5 ijayo tutaishuhudia kweli?