Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hivi hiyo treni ya umeme naiona Kama ndoto tu, hivi ndani ya miaka 5 ijayo tutaishuhudia kweli?
Ata kama ni miaka 10 ipo siku itatembea hadi sasa karibia Trillion 10 zimeishalala ardhini kwenye huo mradi njia pekee ya kufanya usifanye kazi labda upigwe bom...
 
ila naona daraja la kigongo busisi litakamilika kwa wakati ila waziri mkuu kazisisitiza halmashauri za misungwi na sengerema wapime maeneo ya karibu na daraja watu wajenge hotel za kitalii kwan daraja lenyewe ni la kitalii
Hilo jambo waliambiwa kitambo sema kama hawajafanya ivo mpaka leo basi kunahaja ya kupeleka eneo la kigongo Mwanza city Council
 
ila inaonekana sensa ya mwaka huu mwanza imewatisha manake naona hii issue ya njia nne kama ipo serious na kuhusu kufunguliwa kwa stand ya nyegezi mh Raisi atafungua majaliwa kasema
Mkuu njia nne inajengwa sababu ya ongezeko la magari sio sensa ya watu, tanroad walishaangalia ni magari mangapi yanapita kwa siku Toka mwaka juzi
 
Sijaiona umehimu wa njia nne kufika mwanangwa ,,,ni matumizi mabaya ya resources ........ wangejenga Hadi usagara km 25 ,, wakajenga town Hadi kisesa km 18 .then Usagara Hadi kigongo km 10
Kaka hiyo mipango yote ipo, hii mwanza yenyewe mnaipanua kila siku halafu mnataka barabara ziwe nyembamba
 
Mradi upo Kasi Sana sahv mzee kinachochukuaga mda ni kwny Mobilization sijui kuleta vifaa na kujenga makambi wakimaliza huwa ni faster faster sasa hv mrad upo asilimia 14 usijeshangaa ripot ya January umefika asilimia 30
Halafu mchina huwa yuko fasta
 
Tanroad wanatakiwa kuchekecha akili, hii ya barabara kuanzia mkuyuni sio sawa kabisa.

Kama wanaogopa kuvunja nyumba basi wafanye hivi:
Barabara huwa sio lazima zije zimeongozana zote njia nne pamoja, nashauri zitawanyikie pale voil, njia mbili za kuingia mjini zipite chini upande wa ziwa sambamba na reli mpaka stesheni, njia mbili za kutokea zitumie Kenyatta Road.

Tena hapa wanaweza weka njia tatu tatu
 
Tanroad wanatakiwa kuchekecha akili, hii ya barabara kuanzia mkuyuni sio sawa kabisa.

Kama wanaogopa kuvunja nyumba basi wafanye hivi:
Barabara huwa sio lazima zije zimeongozana zote njia nne pamoja, nashauri zitawanyikie pale voil, njia mbili za kuingia mjini zipite chini upande wa ziwa sambamba na reli mpaka stesheni, njia mbili za kutokea zitumie Kenyatta Road.

Tena hapa wanaweza weka njia tatu tatu
Naunga mkono hoja
 
Tanroad wanatakiwa kuchekecha akili, hii ya barabara kuanzia mkuyuni sio sawa kabisa.

Kama wanaogopa kuvunja nyumba basi wafanye hivi:
Barabara huwa sio lazima zije zimeongozana zote njia nne pamoja, nashauri zitawanyikie pale voil, njia mbili za kuingia mjini zipite chini upande wa ziwa sambamba na reli mpaka stesheni, njia mbili za kutokea zitumie Kenyatta Road.

Tena hapa wanaweza weka njia tatu tatu
Voil kumebanana rafik angu ..huo upande wa reli wanajenga SGR na bado Kuna magodown ya vicfish ,,, inshort waexpand tuwe iwe njia tatu Hadi mjini
 
Voil kumebanana rafik angu ..huo upande wa reli wanajenga SGR na bado Kuna magodown ya vicfish ,,, inshort waexpand tuwe iwe njia tatu Hadi mjini
Nammiss Magufuli huu ujinga usingekuwepo.
Ukitoa mwanza mjini pale katikati mpaka makutano ya Pamba, sehemu zingine zilizobaki zinabomoleka
 
Nilikua natamani Nyumba zote za Chini pale CBD City Council wawape fidia wananchi kisha Nyumba zote zibomolewe pabaki wazi then wauze kwa Mataasis na Private sectors wajenge majengo kuanzia 10+ kwaajiri ya apartments na commercials, wanaweza ingia ubia kama wamiliki wa viwanja ili wapate kodi 2×
 
Nilikua natamani Nyumba zote za Chini pale CBD City Council wawape fidia wananchi kisha Nyumba zote zibomolewe pabaki wazi then wauze kwa Mataasis na Private sectors wajenge majengo kuanzia 10+ kwaajiri ya apartments na commercials, wanaweza ingia ubia kama wamiliki wa viwanja ili wapate kodi 2×
Unawaza kama mimi,
 
Screenshot_20221017-234440_YouTube.jpg
Screenshot_20221017-234404_YouTube.jpg
Screenshot_20221017-234338_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom