Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Tuhamie fela jamani
1666090388184.jpg
 
Nimeona bango la mkandarasi anaejenga barabara za kuingia na kutoka stand ya nyegezi anajina gumu anatoka Bunda 😄😄😄😄
 
Tanroad wanatakiwa kuchekecha akili, hii ya barabara kuanzia mkuyuni sio sawa kabisa.

Kama wanaogopa kuvunja nyumba basi wafanye hivi:
Barabara huwa sio lazima zije zimeongozana zote njia nne pamoja, nashauri zitawanyikie pale voil, njia mbili za kuingia mjini zipite chini upande wa ziwa sambamba na reli mpaka stesheni, njia mbili za kutokea zitumie Kenyatta Road.

Tena hapa wanaweza weka njia tatu tatu
Umeni-pre empty kaka, wazo zuri sana
 

Nimeangalia vizuri barabara ya Kenyatta kwenye hii video.
Tanroad naona wamekariri kwamba njia nne lazima kuwe na tuta katikati.
Sehemu finyu njia nne hutenganishwa na msitari mnene hapo kati.
Kwa ninavyoona njia nne inawezekana kabisa kuanzia samaki round about.

Kuanzia stendi ya Igombe njia ni pana wala sioni sehemu ya Kubomoa.
 
Hii station ya Mwanza nimeipenda ingawa sijaona kwa ndani itakuwaje. but najua Wachina hawata tuangusha, kwakua so far huku nje tayari wameweka sawa "who is who" kwa EAC na kwa China in terms of relations. Wanatuheshimu sana.

Hivyo nilienda kuangusha tofali kazaa huko kwa Nyang'au wakubwa twitter!

 
Back
Top Bottom