Sura ya jiji ni ilemela na nyamagana... huwezi kusema mwanza jiji . ilemela isiwemo ..na ndio maana nimesema bado Kuna mgogoro wa namna Gani ya kuiita halmashauri inayosimamia nyamagana...jina inatakiwa iiitwe nyamagana municipal council.lakin changamoto ilionekana kuwa kama tutaita hv bas kwenye orodha ya majiji mwanza haitakuwemo ..ndipo waliazimia ibaki tu na Hilo jina la zamaniMaendeleo ni kama Mwanga Boss, Jiji haliwezi ng'arishwa Ilemela ikabaki imepauka. Nimegusa Metropole kwa sababu ndio taswira ya JIJI.
Mwanza CC ni NyamaganaKhaaa... nyamagana ndio jiji tangu Lin ... nyamagana haina sifa za kuwa jiji ...
Dodoma..maframe yapo . nkuhungu,mnada Mpya ,maili mbili ,kisasa ,mkonze n.kNdio maana napinga mji kupanuka, bora tuuboreshe, tunashabikia frame, huko dodoma sehemu mpya zinazojengwa unaona frame za maduka hovyohovyo kama mza?
Hivi kusimamia watu kwamba eneo hili ukinunua kiwanja jenga hivi na ezeka vigae au bati jekundu, huwezi acha nenda kajenge Sengerema.
Je hii nayo ni kazi ngumu kwa viongozi halafu mnakuwa mnapita kila baada ya mwezi kuona maendeleo ya ujenzi, aliyekiuka piga faini na kuvunjiwa, tutashika adabu ila rushwa imetujaa sana kuliko kusimamia haki
Hahaha, mambo ya Chicago, Dalas Texas, Washington, Atlanta Georgia,Kukua Kwa mji hakuzuiliki kaka ,.....Hilo linawezekana tu Kwa kuboresha miji ya pembeni au wilaya .Ili watu wasivutiwe sana kuhamia miji mikubwa wabaki kwenye miji midogo ... other wise watu wataendelea kuhamia kwenye majiji...... marekani wameweza kutengeneza miji mingi ya siZe ya kati ,,,,hivyo watu hawaoni haja ya kukimbilia new York au Los Angeles
Yule jamaa alikuwa anaibadilisha hii nchi sio mza tu,Mzee baba angemaliza mda wake mwanza ingekuwa kama paris aisee
Kwa nini tarura wasiige?Achana na mabarabara ya tarura naomba uangalie barabara zilizojengwa chini ya miradi ya world bank kama ya sabasaba, miji mwema, mwaloni na mjini kati kama ile ya thaqaafa, nyakahoja, sukuma, na isamilo ni nzuri na zipo standard ata huu mradi wa sasa wa bank ya dunia nadhani zitakuwa bora na zenye viwango๐๐๐
Hahaahhaha umesahau kwamba tarura ni wabongo, toka lini uliona mbongo akakufanyia kitu standard! Kila mtu anawaza upigaji Hadi mtunza storeKwa nini tarura wasiige?
Huyo mzee anajielewa sana tatizo ametulizwa na mamaAchana na hilo zee huwa halijielewi, cha msingi ni kuomba mradi ukamilike tu basi.
Kuna miradi ya tactic inaanza mwakani so watapiga kelele Humo balaa, barabara kubwa hazimo kwenye tactic.Mi naomba hii miradi ya kimkakati ambayo kila siku wanajinasibu nayo kuhusu Mwanza ikamilike haraka (Stand ya Nyegezi, Nyamhongolo,Soko kuu pamoja na Damp la Buhongwa)...
Baada ya hapo tuone watajinasibu na miradi ipi mikubwa Mwanza, mi naamini baada ya miradi hii kukamilika ambayo nafkri hadi kufika mwakani yote itakua imekamilika, wataleta tu miradi mikubwa hawawezi pindua Kwa ukuaji wa Mwanza inawalazimu kuleta miondombinu...
Mimi nashauri TAA wawalipe halmashauri pesa walizotumia then wachukue jengo, hii mambo anayoleta mkuu wa mkoa eti ubia ni upuuzi tuM nalia na airport
Natamani mgogoro wa halmshauri na TAA uishe lile jengo kama ni terminal 1 ianze
Emirates wanautaka sana huu uwanja Toka enzi za mkapa.
Huko unahamisha watuHivi capripoint hamna kiwanja?Nimechoka vumbii
Na mimi ndio idea yangu.Mimi kwa upande wangu kutanuka kwa mji sio deal tena, Mwanza tayari ni jiji kubwa mpaka limeanza kuingia kwenye Halmashauri nyingine, yaani kutanuka kwa jiji la Mwanza sio kwa kulazimisha kama wanavyofanya Dom. Muhimu waboreshe miundo mbinu yote ndani ya metropole, na ikiwezekana wazuie uendelezaji wa maeneo ya pembezoni.
Hii mambo ya halmashauri kujikusanyia mapato ndo shida ilipo.Hii concept tayari ilikuwepo kabla ya mwaka 2012 . ilemela na nyamagana zilikuw chini ya chombo kimoja .MCC Hadi zilipovunjwa ,Kwa mujibu wa taratibu za ugatuzi wa madaraka Kila wilaya inatakiwa isimamie shughuli zake za maendeleo yenyewe chini ya Chombo chake ..na ndio maana halmashauri ikavunjwa ,hata hvyo bado Kuna mgogoro wa namna ya kuita nyamagana.either iwe manispaa au ibakj na kuwa jiji la mwanza.....
Cha muhimu hapa nashauri kuwepo na miradi ya ubia kati ya halmashauri mbili ili kutengeneza win to win situation.otherwise migogoro katika miradi ya maendeleo haiwezi kuisha hapa Tanzania
To be honest issue ya DIT mwanza campus imenivunja moyo sana.Umeongea Kwa kukata tamaa pole sana