Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Napenda barabara za world bank tu sijui miradi ya tarura huwa haziniporezea muda najua baada ya week au mwezi ni mashimo.
Hivi hii barabara ya Kona ya bwiru, Nyansaka hadi Buzuruga alijenga nani? Najua kipindi inajengwa tarula ilikua bado haijaanzishwa...
 
Mi naomba hii miradi ya kimkakati ambayo kila siku wanajinasibu nayo kuhusu Mwanza ikamilike haraka (Stand ya Nyegezi, Nyamhongolo,Soko kuu pamoja na Damp la Buhongwa)...
Baada ya hapo tuone watajinasibu na miradi ipi mikubwa Mwanza, mi naamini baada ya miradi hii kukamilika ambayo nafkri hadi kufika mwakani yote itakua imekamilika, wataleta tu miradi mikubwa hawawezi pindua Kwa ukuaji wa Mwanza inawalazimu kuleta miondombinu...
Miradi mipya ipo ambayo itaanza mwezi wa tatu ya tactic, kama soko kuu la kirumba na barabara kuzunguka soko hilo 2.5km, barabara ya cocacola adi buswelu 3.5km, barabara ya nyamhongolo adi buswelu 9.5km.

Kwa nyamagana, mradi wa mto mirongo kujengwa kwa 9.5km, mradi wa soko kubwa la samaki mkuyuni na mradi wa barabara ya buhongwa, kishiri adi Igoma 14km.
 
Hivi hii barabara ya Kona ya bwiru, Nyansaka hadi Buzuruga alijenga nani? Najua kipindi inajengwa tarula ilikua bado haijaanzishwa...
Kipindi hicho halmashauri zilikuwa na uwezo binafsi, pia Mwanza tuna bahati ya kupata sana miradi toka kwa wazungu.
 
Juzi tulikua na mjadala humu kuhusu NHC..., leo nimekutana na habari hii magazetini najua Mwanza hawa NHC wananyumba kibado town wamewapangisha wahindi na nyingine zimegeuzwa kuwa maduka, wasiwasi wangu ni kwamba watazifikia na hizi...?
Screenshot_2022-10-12-13-57-59-64_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
 
Wanaeneo zuri sana pale clinic lakini wamelala tu wakiwazia 10%, pia hapo mbele ya soko la mjini kati hapo pamba road kuna vijumba vya maduka, ambavyo nasikia wamiliki walishalipwa fidia waweke vitu vizuri vya watu kupumzikia na kutuliza mawazo.
Hayo maduka mi nilikua najua ni sehemu ya soko kwembe haiko hivyo...?
 
Miradi mipya ipo ambayo itaanza mwezi wa tatu ya tactic, kama soko kuu la kirumba na barabara kuzunguka soko hilo 2.5km, barabara ya cocacola adi buswelu 3.5km, barabara ya nyamhongolo adi buswelu 9.5km.

Kwa nyamagana, mradi wa mto mirongo kujengwa kwa 9.5km, mradi wa soko kubwa la samaki mkuyuni na mradi wa barabara ya buhongwa, kishiri adi Igoma 14km.
Asante kwa ukumbusho nakumbuka ilishajadiliwa humu, hii miradi naona ni mingi itaanza yote kwa pamoja au itakua ikipishana kulingana kulingana na flow ya pesa kutoka kwa mfadhili...?
 
M nalia na airport
Natamani mgogoro wa halmshauri na TAA uishe lile jengo kama ni terminal 1 ianze
Ni bora wafikie tamati ili mradi ufanye kazi maana kuendelea kua na kile ki-terminal cha kikoloni ni aibu kwa taifa na sio Mwanza pekee. Hataka ile jengo jipya halikizi ni bora likatumika kwa muda huku tukisubiri the real international airport....
 
Asante kwa ukumbusho nakumbuka ilishajadiliwa humu, hii miradi naona ni mingi itaanza yote kwa pamoja au itakua ikipishana kulingana kulingana na flow ya pesa kutoka kwa mfadhili...?
Hii miradi itaanza yote kwa pamoja kukimbizana na muda, pia kuna miji mingine inatakiwa ipate hii miradi sisi na majiji mengine kutoa Tanga na baadhi ya manispaa tumewekwa first tier, ni jambo la kushukuru, then wataenda kwenye miji ya second tier na third tier.
 
M nalia na airport
Natamani mgogoro wa halmshauri na TAA uishe lile jengo kama ni terminal 1 ianze
Nashauri ilo jengo lisijengwe kwa force account bali wakabidhiwe TAA wajenge jengo jipya lakini wakae pamoja wapange, je halmashauri.za jiji la Mwanza nao watanufaika vipi.
 
Hii miradi itaanza yote kwa pamoja kukimbizana na muda, pia kuna miji mingine inatakiwa ipate hii miradi sisi na majiji mengine kutoa Tanga na baadhi ya manispaa tumewekwa first tier, ni jambo la kushukuru, then wataenda kwenye miji ya second tier na third tier.
Dah jambo la kushukru sana nafkri hadi kufika 2024 Mwanza itakua na twaswira nyingine kabisa...
 
Manispaa ya kisesa ingekuwa imeanza mwanza tungekuwa tunashambulia kwelikweli kwenye mirad ya tactics yan nyamagana,ilemela na kisesa
 
Back
Top Bottom