Hapa ndo tatizo lilipo, nasikia story zamani Tanga lilikuwa jiji kubwa tu, kimasihara tu ukageuka kuwa mji wa ajabu ajabu hata Mwanza isipo jipanga dodoma can come and take over, Arusha wanaangushwa na stand lakin barabara wanajitahidi tu, maji ni 24/7 everywhere, sisi ni mwanza ni wengi lakini resources zetu ni very limited na unakuwa unaona kabisa hamna mpango wa kuziboresha licha ya kuwa na wingi wa watu
Tusidanganyike watu binafsi kujenga majumba mazuri, concern yetu iwe kwenye miundombinu iliyo bora, ubora na uzuri wa miundombinu ndio ubora na uzuri wa mji