Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Baada ya Yanga na Simba sidhani kuna timu inayoweza kuifikia Pamba FC ya miaka hiyo.Natamani ile timu irudi
Aisee me huwa ninawazo la ajabu Sana huwa nawaza siku mapesa mengi yakinitembelea lazima niinunue pamba fc then naweka mpunga wa kutisha

Michezo inafanya sehemu kuwa popular mfano mzuri ni Brazil, kila mtu anaijua Sababu ya football!
 
Landforms za buhongwa ni miamba tu hamna sehemu tambarare
Unakaa buhongwa Gani yenye miamba mingi hyo. ...
Maeneo ya kuelekea central buhongwa,pale center,Kuna miamba Gani ....je wanaokaa kata ya bugarika,butimba ,wasemeje sasa

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Isamilo ...
Screenshot_20221004-164834.jpg
Screenshot_20221004-164947.jpg
Screenshot_20221004-165423.jpg
Screenshot_20221004-165313.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hamna usafiri mgumu kama wa igombe .yaani mule kusimama ni lazima ..ndani ya daladala mule ni kijita,kikurya,kisukuma,kikerewe full .zinajaza .. sijawahi safiri comfortably kuelekea igombe.plus vumbi la pale tx inakuwaga ni chaos tupu
Bora uwe unapanda bajaji ukifika pale ilemela kanisani.
 
1664963251668.png

Naona mpango wa kuionganisha Kabuhoro na Kitangiri kwa lami kupitia Ibanda unatimia. Nakumbuka zamani ukitaka kwenda town lazima ushuke Polisi Kirumba kupata Daladala, sasa hivi hata ukiwa Ibanda unapata usafiri pamoja na changamoto ya barabara iliyokuwepo. Hiki kipande kinatakiwa kikaungane na barabara ya Mwaloni au Kanisa la Anglican Kirumba
 
View attachment 2377715
Naona mpango wa kuionganisha Kabuhoro na Kitangiri kwa lami kupitia Ibanda unatimia. Nakumbuka zamani ukitaka kwenda town lazima ushuke Polisi Kirumba kupata Daladala, sasa hivi hata ukiwa Ibanda unapata usafiri pamoja na changamoto ya barabara iliyokuwepo. Hiki kipande kinatakiwa kikaungane na barabara ya Mwaloni au Kanisa la Anglican Kirumba
Walishaanza kujenga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom