Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Ndio sasa hivi Ibanda - Kitangiri ni mkeka tu, ndio wanasogea sogea Kabuhoro
Ndio sasa hivi Ibanda - Kitangiri ni mkeka tu, ndio wanasogea sogea Kabuhoro
Mbona agha Khan haipo Nyerere road..au area zipNimetoka kazini nikapita barabara ya nyerere, hapo karibu na aga khan jengo la kitalii, karibu na daraja la natta kama unaenda salaaman hospital, opposite na top roof hotel wamezungushia mabati, na eneo hilo lote lazima ujenge 10+ floor, hakika hiyo sehemu italeta mvuto zaidi.
Sio aga khan hospital, kuna lile jengo kubwa la aga khani jeupe limekaa kama tarj mahal ya india.Mbona agha Khan haipo Nyerere road..au area zip
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sasa opposite yake wamezungusha bati kulikuwa na maduka hapo yamevunjwa.Sio aga khan hospital, kuna lile jengo kubwa la aga khani jeupe limekaa kama tarj mahal ya india.
Isijekuwa unazungumzia ule msikiti wa njia panda ya bugando, maana agakhan haipo Nyerere road.Sio aga khan hospital, kuna lile jengo kubwa la aga khani jeupe limekaa kama tarj mahal ya india.
Hiyo barabara ya natta kwenda buzuruga inaitwaje labda nachamganya mafaili.Isijekuwa unazungumzia ule msikiti wa njia panda ya bugando, maana agakhan haipo Nyerere road.
Huo ni msikiti au temple ya wahindi? Alafu opposite sasa ndio kuna mradi umeanza kona ya kuingia darajaniHiyo barabara ya natta kwenda buzuruga inaitwaje labda nachamganya mafaili.
Panaitwaj jamat Khan ..ni msikiti wa agha Khan ..Huo ni msikiti au temple ya wahindi? Alafu opposite sasa ndio kuna mradi umeanza kona ya kuingia darajani
Hakika sasa upande wa pili sasa karibu hapo kona ya kuingia darajani, kama unaenda salaman hosp.Panaitwaj jamat Khan ..ni msikiti wa agha Khan ..
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kabla hujafika hapo natta stendi, au tuseme karibu na coconut hotel maeneo hayo.
Nishapafahamu ....uzio wa bati ni mkubwa au mdogo tu wa kawaida....maana kuwekwa mabati Kuna maanisha project za aina nyingi..inaweza ikawa ni rehabilitation ya maduka hayo yawe katika mwonekano tofauti kama ilivyofanyiwa jengo la Stanbic kuw Nyerere road plaza ...Kabla hujafika hapo natta stendi, au tuseme karibu na coconut hotel maeneo hayo.
Maduka yamebomolewa yote, wakazungusha bati.Nishapafahamu ....uzio wa bati ni mkubwa au mdogo tu wa kawaida....maana kuwekwa mabati Kuna maanisha project za aina nyingi..inaweza ikawa ni rehabilitation ya maduka hayo yawe katika mwonekano tofauti kama ilivyofanyiwa jengo la Stanbic kuw Nyerere road plaza ...
Jengo refu lazima kiwe na uzio mkubwa wa bati
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Uzio umewekwa kuzunguka eneo la mradi hakuna rehabilitation hapo, ni new building wili be raised soon.Nishapafahamu ....uzio wa bati ni mkubwa au mdogo tu wa kawaida....maana kuwekwa mabati Kuna maanisha project za aina nyingi..inaweza ikawa ni rehabilitation ya maduka hayo yawe katika mwonekano tofauti kama ilivyofanyiwa jengo la Stanbic kuw Nyerere road plaza ...
Jengo refu lazima kiwe na uzio mkubwa wa bati
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuna dalili za crane kuwepo ? Au mafundi tu watamaliza kaziUzio umewekwa kuzunguka eneo la mradi hakuna rehabilitation hapo, ni new building wili be raised soon.
Kama unavyojua maeneo hayo ya nyerere road majengo hayawezi kuwa chini ya 10 floor, wapk wanafanya land clearing, eneo hilo litaleta mvuto sana asee.Kuna dalili za crane kuwepo ? Au mafundi tu watamaliza kazi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwan mongo house na Nyerere road zina floor ngapiKama unavyojua maeneo hayo ya nyerere road majengo hayawezi kuwa chini ya 10 floor, wapk wanafanya land clearing, eneo hilo litaleta mvuto sana asee.
