Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

mm nipo nyamagana ila ilemela wanakuja kasi sana na maeneo mengi ya ilemela yamejengeka sana huwez kuta mabati meupe mengi
Hv unajua daladala za igombe zimeandikwaje. IGOMBE TO MZA .,,igombe kwenda mwanza . ilemela sio mwanza
 
Sisi wa zamani tulikuwa tunaita express.
Na konda akiita abiria anasema, mfano yuko igoma anapiga debe akisema nyakato mabatini mza.
Tehteh
Hamna usafiri mgumu kama wa igombe .yaani mule kusimama ni lazima ..ndani ya daladala mule ni kijita,kikurya,kisukuma,kikerewe full .zinajaza .. sijawahi safiri comfortably kuelekea igombe.plus vumbi la pale tx inakuwaga ni chaos tupu
 
sasa rockcity mall si ndo identity ya jiji iko wapi sasa, malaika beach resort iko wapi, airport Iko wapi, ccm kirumba iko wapi, kwa hiyo mkuu tukubali tu jamaa wanetupiga gap
Hizo ni facilities za mkoa .zinawekwa sehemu yoyote ,hata ngudu huko .Kwa hyo sio kitu Cha kujivunia ...mi hoja sio wapi kuzuri kuzidi kwingine .Bali kubainisha wapi Pako strategic na mtu anashauriwa akaishi ....mi namshauri mtu Aishi nyamagana Kwa sababu
1 urahisi wa kupata huduma zote za msingi
2 unafuu wa maisha (vyakula,vyumba n.k)
3 usalama wa kutosha
4 usafiri wa uhakika ..
 
sasa rockcity mall si ndo identity ya jiji iko wapi sasa, malaika beach resort iko wapi, airport Iko wapi, ccm kirumba iko wapi, kwa hiyo mkuu tukubali tu jamaa wanetupiga gap
Kwangu mimi huwa naona hata capripoint haioni ndani kwa Bwiru.
Screenshot_20220902-224021~2.png


Screenshot_20220831-232510.png


Screenshot_20220617-005152.png

Baadhi ya nyumba za Bwiru
 
sasa rockcity mall si ndo identity ya jiji iko wapi sasa, malaika beach resort iko wapi, airport Iko wapi, ccm kirumba iko wapi, kwa hiyo mkuu tukubali tu jamaa wanetupiga gap
Beach zote ambazo watu wanaweza kuogelea ziko Ilemela.
Dar tech mwanza wataanza ujenzi wa chuo 30b sio mchezo.

Marine rescue centre itajengwa ilemela.
Na kuna vyuo vingi vimechukua viwanja ilemela.
Ilemela kuna future nzuri wakijipanga.
 
Hamna usafiri mgumu kama wa igombe .yaani mule kusimama ni lazima ..ndani ya daladala mule ni kijita,kikurya,kisukuma,kikerewe full .zinajaza .. sijawahi safiri comfortably kuelekea igombe.plus vumbi la pale tx inakuwaga ni chaos tupu
Mimi nilisafiri zamani sana, kulikuwa kuna gari moja tu ikienda unasubiri irudi, dah maisha haya
 
Mimi nilisafiri zamani sana, kulikuwa kuna gari moja tu ikienda unasubiri irudi, dah maisha haya
we ni mkongwe aisee .sa hv Kuna kosta za kutosha .ila zinaondoka Kwa zamu zamu ..zimechakaa na zinajaza kama magari ya mbagala Fujo tupu
 
Aisee nipo mv Victoria hapa kazi tu humo ndani balaa kuna restaurant za hatar viwanja balaa cjui burigi chato cjui ile meli ikikamilika si itakuwa balaa na utalii tosha abiria ni wengi sana kwny meli
Kuna interaction kubwa kati ya Miji ya Mwanza na Bukoba...so kukua kwa mwanza ni kukua kwa Bukoba pia..

Ingawa Bukoba nako serikali imepatelekeza pia hasa kwenye miundombinu ya stendi na soko lake..

Labda tusubiri miradi ya Tactic itapabadilisha pia

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hawana exposure ata mimi hii kitu huwa naichukia napenda nikute miradi ya barabara, miradi mikubwa mikubwa.
Mimi nitaanza kuwachana kwenye post zao za vyoo/ madarasa na vituo vya afya. Sio kitu cha kujibrag kwenye halmashauri zenye mapato
Mimi nilisafiri zamani sana, kulikuwa kuna gari moja tu ikienda unasubiri irudi, dah maisha haya
Igombe siku hizi magari mengi, shida ilikuwa Kayenze kulikuwa na waarabu fulani pale Nera walikuiwa wanamiliki bus linaitwa Digidigi, nakumbuka tokea ninaoma nursery pale KKKT Makongoro mpaka naaliza chuo mzigo bado unapiga kazi.
 
Mimi nitaanza kuwachana kwenye post zao za vyoo/ madarasa na vituo vya afya. Sio kitu cha kujibrag kwenye halmashauri zenye mapato

Igombe siku hizi magari mengi, shida ilikuwa Kayenze kulikuwa na waarabu fulani pale Nera walikuiwa wanamiliki bus linaitwa Digidigi, nakumbuka tokea ninaoma nursery pale KKKT Makongoro mpaka naaliza chuo mzigo bado unapiga kazi.
Utawachana wapi ....humu hawamo
 
Mimi nitaanza kuwachana kwenye post zao za vyoo/ madarasa na vituo vya afya. Sio kitu cha kujibrag kwenye halmashauri zenye mapato

Igombe siku hizi magari mengi, shida ilikuwa Kayenze kulikuwa na waarabu fulani pale Nera walikuiwa wanamiliki bus linaitwa Digidigi, nakumbuka tokea ninaoma nursery pale KKKT Makongoro mpaka naaliza chuo mzigo bado unapiga kazi.
Digidigi dah, nilikuwaga naliona.

Hivi zile express za zamani hasa njia ya Nyakato sokoni zilienda wapi?
 
Kukua kwa mji kulizimeza hizo gari, Hiace zikageuza Nyakato sokoni kama kituo cha njiani tu. Mwaloni-Kisesa, Bwiru - Machinjion, Airport - Kishiri, Kisesa - Buhongwa
Hivi hiki kizazi cha sasa wanajua ule uwanja wa CCM kirumba tulikuwa tunaujaza kuangalia mechi za Pamba?.
Simba na Yanga zilikuwa hazisogezi pua.
Na je wanajua pamba ilishawahi kuwa bingwa wa Tanzania ikashiriki klabu bingwa Afrika ikaweka rekodi kwa kuifunga timu moja ya Madagascar 17-0.
 
Hivi hiki kizazi cha sasa wanajua ule uwanja wa CCM kirumba tulikuwa tunaujaza kuangalia mechi za Pamba?.
Simba na Yanga zilikuwa hazisogezi pua.
Na je wanajua pamba ilishawahi kuwa bingwa wa Tanzania ikashiriki klabu bingwa Afrika ikaweka rekodi kwa kuifunga timu moja ya Madagascar 17-0.
Noma sana enzi za Bubu (RIP).
 
Back
Top Bottom