Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kwan tecno tower na seif plaza tower zina floor ngap?
Mikdde kumbuka ilo eneo ni la kona na panafanana sana na nyerere road plazza, so ata wakijenga floo tisa au nane na wakaweka nakshi ya vioo pataleta mvuto sana🙏🙏
 
Kuna dalili za crane kuwepo ? Au mafundi tu watamaliza kazi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

Mikdde kumbuka ilo eneo ni la kona na panafanana sana na nyerere road plazza, so ata wakijenga floo tisa au nane na wakaweka nakshi ya vioo pataleta mvuto sana🙏🙏
iMarkup_20221005_004319.jpg

Ni hapa hv nilipozungushia red , ila bati zenyewe zilizozungushiwa ni zile bati chakavu , possibility hakuna mradi mkubwa hapo , nahsi maduka Tu ya mfumo wa contemporary, inaonekana tuu mradi haupo well financed kufika 10 floor , may be zikipanda Sana 5 , but anything can happen
 
View attachment 2378280
Ni hapa hv nilipozungushia red , ila bati zenyewe zilizozungushiwa ni zile bati chakavu , possibility hakuna mradi mkubwa hapo , nahsi maduka Tu ya mfumo wa contemporary, inaonekana tuu mradi haupo well financed kufika 10 floor , may be zikipanda Sana 5 , but anything can happen
Sawa kabisa ..mtatupa update mlioko huko .

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hahaha eti Taj Mahal... najaribu kufikiria jengo hapa mwanza linalofanania na Taj Mahal labda lile la kitana ambalo halijamaliziwa mpaka Leo. Mengine yote hamna hata robo.
Jengo la aga khan linafanana lakin kwa mbaaaaali, Tena hiyo tempo saivi imepigwa rangi mpya nyeupe Safi kabisa
 
View attachment 2378280
Ni hapa hv nilipozungushia red , ila bati zenyewe zilizozungushiwa ni zile bati chakavu , possibility hakuna mradi mkubwa hapo , nahsi maduka Tu ya mfumo wa contemporary, inaonekana tuu mradi haupo well financed kufika 10 floor , may be zikipanda Sana 5 , but anything can happen
hapo hapo kabisaa.
 
Tatizo pia kwenye huo mradi wameweka mabati chakavu sasa hayo yananipa wasiwasi na huu mradi kama ni wauhakika au ni maduka tu kama ya mtaani kwetu, pia kama halmashauri wakiacha sehemu kama hiyo pajengwe bila kufuata master plan ya Mwanza CBD, tutakuwa na halmashauri ya ovyo sana.
 
Tatizo pia kwenye huo mradi wameweka mabati chakavu sasa hayo yananipa wasiwasi na huu mradi kama ni wauhakika au ni maduka tu kama ya mtaani kwetu, pia kama halmashauri wakiacha sehemu kama hiyo pajengwe bila kufuata master plan ya Mwanza CBD, tutakuwa na halmashauri ya ovyo sana.
Sehemu ya kujenga gorofa 10+
 
Back
Top Bottom