Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Nyamagana ndio home of apartments and vilas
Capripoint
Isamilo
Mwanachi .
Kidogo majirani zetu ndio wameanza kuzinduka juzi juzi hapa
1663422854687.jpg
1663422824439.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ghana na kirumba kuna magorofa yanajengwa sema ni mafupi.
Sijawahi ona tofauti ya Ghana ya kirumba.....ni mitaa ambayo huwezi itenganisha kama ilivyo buzuruga na mecco,.butimba na mkuyuni,mhandu na nyakato..ni mitaa ambayo inaingiliana ..
Rock city mall unaweza chagua uiweke Ghana au kirumba

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hivi hiki kizazi cha sasa wanajua ule uwanja wa CCM kirumba tulikuwa tunaujaza kuangalia mechi za Pamba?.
Simba na Yanga zilikuwa hazisogezi pua.
Na je wanajua pamba ilishawahi kuwa bingwa wa Tanzania ikashiriki klabu bingwa Afrika ikaweka rekodi kwa kuifunga timu moja ya Madagascar 17-0.
Baada ya Yanga na Simba sidhani kuna timu inayoweza kuifikia Pamba FC ya miaka hiyo.Natamani ile timu irudi
 
Back
Top Bottom