Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Beach zote ambazo watu wanaweza kuogelea ziko Ilemela.
Dar tech mwanza wataanza ujenzi wa chuo 30b sio mchezo.

Marine rescue centre itajengwa ilemela.
Na kuna vyuo vingi vimechukua viwanja ilemela.
Ilemela kuna future nzuri wakijipanga.
Ilemela wana utajiri wa ardhi, pia maeneo yao mengi yamepimwa pia ardhi yao ni tambarare na imechukua eneo kubwa la ziwa.
 
Mimi nitaanza kuwachana kwenye post zao za vyoo/ madarasa na vituo vya afya. Sio kitu cha kujibrag kwenye halmashauri zenye mapato

Igombe siku hizi magari mengi, shida ilikuwa Kayenze kulikuwa na waarabu fulani pale Nera walikuiwa wanamiliki bus linaitwa Digidigi, nakumbuka tokea ninaoma nursery pale KKKT Makongoro mpaka naaliza chuo mzigo bado unapiga kazi.
nipe connection na mimi nipate fursa ya kuwachana, kama kuna sehemu ya maoni nambie mkuu.
 
Hivi hiki kizazi cha sasa wanajua ule uwanja wa CCM kirumba tulikuwa tunaujaza kuangalia mechi za Pamba?.
Simba na Yanga zilikuwa hazisogezi pua.
Na je wanajua pamba ilishawahi kuwa bingwa wa Tanzania ikashiriki klabu bingwa Afrika ikaweka rekodi kwa kuifunga timu moja ya Madagascar 17-0.
hizi story za timu ya pamba huwa nazipata kwa mshua tu, tupe madini ya Mwanza ya zamani nasi wadogo zako tufaidi,ili tujue tumetoka wapi, tupo wapi na tunaelekea wapi? ๐Ÿ™ ๐Ÿ™ ๐Ÿ™ ๐Ÿ™
 
_20221003_182010.JPG




Halafu watu wa nyamagana wanataka wapangishwe kwa bei za igogo na mabatini
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom