intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 706
- 1,126
Vibanda vya biashara vilivyozunguka kama fence vipo 80
Parking ipi ya magari madogo Ina vumbi.....Kwa hyo hayailemela bus terminus wana njia moja ya kuingia na hiyo ndio ya kutokea, pia parking ya magari madogo ni vumbi na matope,pia huko hakuna vibes.
magari yamepaki kwenye vumbi
ila stand ya Dodoma kwa nyegezi bado sana ingawa wanasema walijenga kwa bn 24 wakat nyegez bn 16😄😄😄😄Nyegezi waiting area wanazo 5 lounge za kusubir abiria wanazo 2 maeneo ya bank wanazo 6 supermarket kama 4
Daladala zinapaki wapi?Parking ipi ya magari madogo Ina vumbi.....Kwa hyo hayamagari yamepaki kwenye vumbi View attachment 2373950View attachment 2373953
stendi ya wakina mikdde ata hawana parking za magari kwenye hile hostel/ hotel yao, kuna watu wanaweza kutaka kuja kupumzika huko wakiwa na magari yao na hilo mkalifanyie kazi.Nilipita siku zile nikakuta wametengeneza Parking za mabenki kwa nje
ilemela wameshndwa kujikopesha hata bn 1 wajenge km 1 ile barabara ya buswelu ili mtu akipita pale aone kuna Lami pesa za tactics zikija wanajilipastendi ya wakina mikdde ata hawana parking za magari kwenye hile hostel/ hotel yao, kuna watu wanaweza kutaka kuja kupumzika huko wakiwa na magari yao na hilo mkalifanyie kazi.
mkuu ilo vumbi hapo hulioni magari madogo yanapopark? daladala na coaster huwa zinashusha na kupakia abiria wapi wakiwa hapo vumbini 🤣 🤣Parking ipi ya magari madogo Ina vumbi.....Kwa hyo hayamagari yamepaki kwenye vumbi View attachment 2373950View attachment 2373953
Stendi ya daladala inajengwa soon Tena sh milioni 500 ishatengwa ...Daladala zinapaki wapi?
itakuwa ni matumizi ya ovyo sana mkuu, waweke lami wakati mradi wa tactic unaanza hivi karibuni niaje man.ilemela wameshndwa kujikopesha hata bn 1 wajenge km 1 ile barabara ya buswelu ili mtu akipita pale aone kuna Lami pesa za tactics zikija wanajilipa
Yaani unacheka kitu ambacho kipo on plan hvi nyegezi stendi na nyamhongolo Kwa nje wapi Kuna vumbi... mradi wa nyamhongolo unaishia ndani ya fence,mambo yote yaliyo nje ya fence sio stendi...kikubwa zaidi ambacho nyamhongolo inacho ni basement parking Kwa ajili ya business complex,,, magari yanapaki underground hayachanganywi na daladala kama nyegezi hapomkuu ilo vumbi hapo hulioni magari madogo yanapopark? daladala na coaster huwa zinashusha na kupakia abiria wapi wakiwa hapo vumbini![]()
![]()


mkijenga hiyo stendi mtapata star rate ya 4 lkn nyegezi bado wanakuwa juu yenu kwa star rate ya 4.5.Stendi ya daladala inajengwa soon Tena sh milioni 500 ishatengwa ...
Unazungumzia lounge,,,ndani lile jengo la kwanza Kuna lounge,,,.,,,lile jengo multi facilities complex ambayo inaruhusu uwekezaji wote .Kwa hyo nyegezi haina kipya ambacho nyamhongolo hakipo
Nashangaa mlivyo na haraka ..wakati the best are yet to come ..kaeni mkingojaitakuwa ni matumizi ya ovyo sana mkuu, waweke lami wakati mradi wa tactic unaanza hivi karibuni niaje man.
kwanini kwenye render hawakuweka daladala parking????Yaani unacheka kitu ambacho kipo on plan hvi nyegezi stendi na nyamhongolo Kwa nje wapi Kuna vumbi... mradi wa nyamhongolo unaishia ndani ya fence,mambo yote yaliyo nje ya fence sio stendi...kikubwa zaidi ambacho nyamhongolo inacho ni basement parking Kwa ajili ya business complex,,, magari yanapaki underground hayachanganywi na daladala kama nyegezi hapo![]()
sio mimi mkuu, nilikuwa namshauri mwamba hakuna haja ya kutumia pesa wakati mradi wa tactic unakuja soon.Nashangaa mlivyo na haraka ..wakati the best are yet to come ..kaeni mkingoja
achana na stendi ya dodoma mkuu hayo peleka kwenye uzi ule wa dodoma cbd vs mwanza cbd hapa tuongee kuhusu jiji letu yaani ilemela na nyamagana.ila stand ya Dodoma kwa nyegezi bado sana ingawa wanasema walijenga kwa bn 24 wakat nyegez bn 16😄😄😄😄
😄😄😄😄 wazee wa nhcachana na stendi ya dodoma mkuu hayo peleka kwenye uzi ule wa dodoma cbd vs mwanza cbd hapa tuongee kuhusu jiji letu yaani ilemela na nyamagana.
umenikumbusha kitu nimeona majengo yote yalikuwa chini ya nyanza corporation union, kule kenyata road na pamba road yameanza kupigwa nembo za NHC.😄😄😄😄 wazee wa nhc