Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Tatizo linaanzia kwetu sisi .wananchi kujiona ni wanyonge tunaonelewa na kuwa brainwashed na conspiracy theories,,,mwananchi akizuiwa msijenge sehemu flan ,tunasema nchi imeuzwa ,sijui wamepewa watu flani ..hili suala linafanya hata wataalamu wetu wenye mawazo Bora kukataliwa na wanasiasa wanaosimamia sera ili tu kuwafurahisha baadhi ya wananchi watakaowahakikishia ulaji ....

Dawa ya kuleta maendeleo hapa mwanza ni kuwaondoa watu ujinga walionao na wakubali mabadiliko yenye maumivu
Kuna ujinga upo siku hizi
Eti tunahalalisha maeneo yenu watakuja wawekezaji mlipwe pesa.
Kiukweli hakuna mwekezaji atakuja tunachafua mji tu.
Wasimamie sheria,
Mtu akijenga vunja, wakivunjiwa watu 20 hivi wengine wataanza kuogopa hakuna anayependa hasara.
 
Kuna ujinga upo siku hizi
Eti tunahalalisha maeneo yenu watakuja wawekezaji mlipwe pesa.
Kiukweli hakuna mwekezaji atakuja tunachafua mji tu.
Wasimamie sheria,
Mtu akijenga vunja, wakivunjiwa watu 20 hivi wengine wataanza kuogopa hakuna anayependa hasara.
It's too late brother. .milima yote mwanza imeisha ,na iliyobaki ya pembeni kama mahina reli na ibanda kule Kuna miamba flan amazing lakin jiji halina muda napo ,watu wanajipimia viwanja Hadi vya laki 3 , wanajenga Hadi juu ya jiwe na vyoo kule hamna ni vurugu tupu
 
Wanamalizia kuweka hiyo canopy ila kwa muundo mwingine, kama kubadilika ni kidogo sana mkuu.
 
Tena huko ni karibu na ziwa unapulizwa upepo, hapo Igombe samaki kibao sio wa kwenye friji, huku hatuli wa kwenye friji.
Dhambi sio nyingi sana hivyo hakuna tsunami

Lakini Iringa kuzuri pia.
Mimi huwa naona Iringa nzuri kushinda mbeya
Hapo kwenye samaki, naona Nita enjoy sanaaa!!
Karibu Iringa na wewe
 
Mbona mnaanza kulinganisha miji mara iringa mara moshi, nawaomba tuongelee mambo ya jiji letu la mwanza kama kulinganisha tufanye mlinganisho wenye tija mfano moshi mji msafi na sisi mwanza tufanye nini mji huwe msafi, mfano dar kuna maflyovers je kuna mikakati ya jiji la mwanza kupata flyover🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom