Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mnapagawishwa na upya au .... nyamhongolo still inadeserve kuwa the best terminal ..Kwa sababu zifuatazo
1.render yak Ina mvuto na Iko modern zaidi
2.ina facilities nyingi kuliko nyegezi (parking ya malori,hotel,na ,business complex na terminal building.
Kuhusu vumbi la pale njee.ni suala la muda na litafanyiwa kazi muda wowote
inaonekana we ni wa ilemela mkuu, ila sisi wa nyamagana tunasema nyegezi ni international kwelikweli
 
Mnapagawishwa na upya au .... nyamhongolo still inadeserve kuwa the best terminal ..Kwa sababu zifuatazo
1.render yak Ina mvuto na Iko modern zaidi
2.ina facilities nyingi kuliko nyegezi (parking ya malori,hotel,na ,business complex na terminal building.
Kuhusu vumbi la pale njee.ni suala la muda na litafanyiwa kazi muda wowote
mkuu upo sahihi kwa upande wako lakini hiyo kitu ya nyegezi achana nayo ni hatari na nusu.
 
Mmetumia factors gan kusema jengo halifai .... mwonekano au facilities za ndani ..ikumbukwe kuwa magufuli alisema lijengwe jengo la muda wakati wakitafuta bajeti ya jengo kubwa .. limejengwa Hilo la muda still bado Kuna misunderstanding .sioni tatizo kwenye jengo zaidi ya political driven conflict..
Jengo liwekewe partition likae poa litumike Kwa muda kabla ya kuanza kujenga terminal 2 ..hamna wa kulaumiwa .. halmashauri Zina haki ya kudai jengo Kwa sababu zimejenga Kwa pesa zao ..Kwa hyo TAA ni lazima wabainishe ni namna Gani pesa za halmashauri zitarudishwa kabla ya kupewa jengo
lakini malumbano yao yanatuchelewesha sana.
 
Nitajie facilities zilizopo nyegezi terminal
1. ina parking ya magari madogo aka daladala na pia hiyo parking ipo classic kama kigorofa fulani hivi.
2.ina njia mbili za kuingia na kutokea magari
3. ina sehemu kwa ajili ya wakina mama wenye watoto wadogo na wanaonyonyesha
4.location yake hiyo kitu ni hamsha hamsha
5.bango la stendi ya nyegezi imetiwa nakshi ya kuvutia sana.
N.b hizo ni unique features za nyegezi terminus
nyingine wanafanana kama mabenki, maduka, sehemu za restaurants n,k
 
1. ina parking ya magari madogo aka daladala na pia hiyo parking ipo classic kama kigorofa fulani hivi.
2.ina njia mbili za kuingia na kutokea magari
3. ina sehemu kwa ajili ya wakina mama wenye watoto wadogo na wanaonyonyesha
4.location yake hiyo kitu ni hamsha hamsha
5.bango la stendi ya nyegezi imetiwa nakshi ya kuvutia sana.
N.b hizo ni unique features za nyegezi terminus
nyingine wanafanana kama mabenki, maduka, sehemu za restaurants n,k
halafu kingine nyegezi pale kuna lounge mbili ya abiria kusubiria usafir wakat ilemela hawana
 
ilemela wanayo moja kama sikosei mkuu.
Picha zinazungumza
Ukiangalia hapa nyamhongolo Iko smart ad unique .. nyegezi just imebanana na majengo yake design ni mbovu..
20220915_164856.jpg
20220905_094217.jpg
 
1. ina parking ya magari madogo aka daladala na pia hiyo parking ipo classic kama kigorofa fulani hivi.
2.ina njia mbili za kuingia na kutokea magari
3. ina sehemu kwa ajili ya wakina mama wenye watoto wadogo na wanaonyonyesha
4.location yake hiyo kitu ni hamsha hamsha
5.bango la stendi ya nyegezi imetiwa nakshi ya kuvutia sana.
N.b hizo ni unique features za nyegezi terminus
nyingine wanafanana kama mabenki, maduka, sehemu za restaurants n,k
Hizo facilities zote nyamhongolo zipo
 
Picha zinazungumza
Ukiangalia hapa nyamhongolo Iko smart ad unique .. nyegezi just imebanana na majengo yake design ni mbovu..View attachment 2373938View attachment 2373939
acha kupiga picha upande upande ingekuwa poa kama ungechukua na stendi ya nyegezi yote tufanye fair play, hii stendi yenu ya ilemela haiwezi lingana na nyegezi nakuambia.
 
Back
Top Bottom