Ni jambo jema coz kuna halmashauri zaidi ya 150 nchini Tanzania nazo zinataka mgao.Katika bilion 160 za ujenzi wa madarasa ilemela imepokea 2.2bn kwa ajili ya kujenga madarasa 110
Growth rate ya jiji la mwanza ni kubwa mnoo ndo maana changamoto za madarasa kwa watoto ni kubwa mnooNi pesa nyingi, zipo Halmashauri 184, gawanya hiyo b160 kwa b2.2.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengine wanakuja kuharibu mandhari ya beach,Sandmark
Tatizo la Mohamed yp0 slow sana adi anaboaila wadau stand ya nyegezi ni 15.9 ila ni nzur ukiingia ndan had raha ilemela waliwapa kandaras kampun ya china kwa hyo hela bilion 26 wangempa mohamed builder wangejengewa bonge Moja la stand
Manispaa mpya itakayoanzishwa kwa sasa haitakuwa na vyanzo vya kutosha vya mapato, kwa ushauri wangu naona hizo sehemu tuzigawane sisi wa nyamagana na Ilemela kwa mchanganuo ufuatao;Hivi jaman hv ile proposal ya kuanzisha wilaya ya kisesa hv tungetegemea mapato gan kwa vyovyote ilemela hawawez kuiachia stand ya nyamhongolo mm binafsi naona tuvumilien miaka 3 kisesa na usagara zitakuwa zimekua sana daraja la kigongo litakuwa limeisha tozo za magari zitatozwa na kwa upande wa reli itakuwa inaelekea ukingoni
Picha kali kinyama...mwanza my city.
Ikianzishwa manispaa Mpya watabuni tu mapatoManispaa mpya itakayoanzishwa kwa sasa haitakuwa vya vyanzo vya kutosha vya mapato, kwa ushauri wangu naona hizo sehemu tuzigawane sisi wa nyamagana na Ilemela kwa mchanganuo ufuatao;
Ukanda wa kisesa, bujashi na fela ziende ILEMELA.
Ukanda wa Nyashishi, usagara, bukumbi adi kigongo ziwe upande wa NYAMAGANA ili jiji lipanuke zaidi.🙏🙏🙏
Najua , alaf sjui Kwa nn uliutelekeza huo UziSkyscraper mimi ndio nilikuwa na post nikitumia Jina la rockycity
Hii design uliyoweka ni mtu tu alikuwa anajifurahisha kudesign. Mimi niliwasiliana naye kwa email.
Na nakumbuka mimi ndio nilipost hiyo.
Sasa ujiulize kama enzi ya Kikwete bajeti ilikuwa 105b kwa terminal building iweje sasa hivi iwe 32b?
Ilo ni jambo jema lakini huu muda wakiwa wanajifikiria naona hizo nyanda tuzigawane siku tukiongeza vyanzo vya mapato tutaziachia ili kutengeneza manispaa mpya kwasasa sizani ukiangalia jinsi miradi inavyosuasua duh!Ikianzishwa manispaa Mpya watabuni tu mapato
Wakisema ziingizwe ndani watazipa mzigo pia italeta utata kimaslahiIlo ni jambo jema lakini huu muda wakiwa wanajifikiria naona hizo nyanda tuzigawane siku tukiongeza vyanzo vya mapato tutaziachia ili kutengeneza manispaa mpya kwasasa sizani ukiangalia jinsi miradi inavyosuasua duh!
Me nadhani iundwe manispaa nyengne tu, tena Manispaa ya Kisesa itakua strategic zaidi kuliko Ilemela na Nyamagana kwani Maeneo ya kisesa na Usagara yamekaa kiuwekezaji zaidiIlo ni jambo jema lakini huu muda wakiwa wanajifikiria naona hizo nyanda tuzigawane siku tukiongeza vyanzo vya mapato tutaziachia ili kutengeneza manispaa mpya kwasasa sizani ukiangalia jinsi miradi inavyosuasua duh!
Leo nimeiona tena nyegez hii stand ni kali sana aisee sio mchezoNyegezi International bus terminal kwann wasiandike ivi jamani
View attachment 2373028
Tatizo sina imani kama tutapata manispaa mpya kwa sasa.Me nadhani iundwe manispaa nyengne tu, tena Manispaa ya Kisesa itakua strategic zaidi kuliko Ilemela na Nyamagana kwani Maeneo ya kisesa na Usagara yamekaa kiuwekezaji zaidi
Tatizo picha commandant.Leo nimeiona tena nyegez hii stand ni kali sana aisee sio mchezo
Bora ichelewe 2026 kisesa na usagara zitakuwa zimekua sana hapo tutaanzisha manispaaTatizo sina imani kama tutapata manispaa mpya kwa sasa.