intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 706
- 1,126
Mwenye kuyajua haya maeneo anisaidie masemele,lukobe,nyamwilolelwa anisaidie ndo maeneo,kabusungu,isanzu,kakebe anisaidie ndo maeneo ambayo sijafika jiji la mwanza
Panda gari za ilalila utafika masemele, kabusungu, isanzu nauli ni buku tu baaada ya 600 ile ya dala dala, panda gari za shibula utafika nyamilolelwa shibula na utakua unapaona lukobe!! Kwa ufupi hayo maeneo yote yamesha jengeka, eneo linalovutia zaidi na bado nikipori kidogo ni isanzu wahi viwanja bado nikamseleleko na nivikubwa sanaMwenye kuyajua haya maeneo anisaidie masemele,lukobe,nyamwilolelwa anisaidie ndo maeneo,kabusungu,isanzu,kakebe anisaidie ndo maeneo ambayo sijafika jiji la mwanza
Hakika mkuu slowly ata supermarkert haifai kabisaa, kwamba hiwe garage ya ndege🤣🤣🤣🤣🤣Ukweli ni kuwa hlo jengo halifai, TAA wapo sahihi, naunga mkono hoja za TAA, kulikuwa na matumizi ya hovyo Sana ya hcho kiwanja cha ndege , design ya Kwanza ilikuwa ipo vizur , na ujenzi ilianza kipind nafkr cha kikwete badae ukakwama, ghafula bin vuu , likaanza kujengwa jengo kama karakana , moja ya maamuzi ya kukurupuka ya JPM .....!!
Ushauri wangu hlo jengo ligeuzwe liwe tank la kuhifadhia mafuta ya ndege
Ile ukitoa stendi ya jpm hakuna kama nyegezi bus terminusNyegezi ni balaa sana ile stand ina mvuto wa hatari
ile ya Dodoma ni ujinga mtupu walipigwa mwanza bn sema kinachotufelishaga ni mabarabara ya lamiIle ukitoa stendi ya jpm hakuna kama nyegezi bus terminus
Isanzu si ndo kuna hospitali ya wilayaPanda gari za ilalila utafika masemele, kabusungu, isanzu nauli ni buku tu baaada ya 600 ile ya dala dala, panda gari za shibula utafika nyamilolelwa shibula na utakua unapaona lukobe!! Kwa ufupi hayo maeneo yote yamesha jengeka, eneo linalovutia zaidi na bado nikipori kidogo ni isanzu wahi viwanja bado nikamseleleko na nivikubwa sana
af baada ya nyegezi ni nyamhongolo ila mpk watoe yale matope getini 😄😄Ile ukitoa stendi ya jpm hakuna kama nyegezi bus terminus
Hapa n wap?Sandmark
Hii ipo wapi?Sandmark
Watoe kwanza zile vumbi na matope yanayokuja kipindi cha kiangazi, kwasasa list yangu ya stendi bora Tz niaf baada ya nyegezi ni nyamhongolo ila mpk watoe yale matope getini 😄😄
Hv msamvu imeizid Dodoma stand?Watoe kwanza zile vumbi na matope yanayokuja kipindi cha kiangazi, kwasasa list yangu ya stendi bora Tz ni
1. Mbezi louis(jpm)
2.stendi ya nyegezi
3.stendi ya msamvu(moro)
4.stendi ya dodoma
5 stendi ya nyamhongolo.** wakitoa mavumbi na matope watapanda adi nafasi ya tatu.
Msamvu una design unique sana mkuu.Hv msamvu imeizid Dodoma stand?
Hv ilemela wameshndwa kuliwekea paving ilo eneo la vumbi kwan ni sh ngap af at ile barabara ya nyamhongolo wangeweka Lami km 1 tu wakat wanasubir tactics si ni bn 1 tuMsamvu una design unique sana mkuu.
Ni pesa nyingi, zipo Halmashauri 184, gawanya hiyo b160 kwa b2.2.Katika bilion 160 za ujenzi wa madarasa ilemela imepokea 2.2bn kwa ajili ya kujenga madarasa 110
Yes, nayo nikama imetelekezwa tu!!Isanzu si ndo kuna hospitali ya wilaya
Hospital ipo Kabusungu, na ndio walikuwa wanataka waweke na College of health and allied science hapo ngazi ya cheti na diploma.Yes, nayo nikama imetelekezwa tu!!