Ndio maana hiyo stendi ya wakina mikdde naipa nyota 2.5 lakini stendi ya nyegezi ni nyota 4.5😍😍Nyegez kuna kumbi 2 za abiria lkn nyamhongolo hamna
Upo sahihi mkuu lakini hiyo swampy area haijazuia kuweka parking standard ya daladala na barabara za kuingia na kutoka🙏🙏🙏Swala la kwanini nyamhongolo itumike 26B na nyegezi 15.9B ni kwamba licha tu ya kuwa nyamhongolo Kuna stand na park ya malori lakini pia ni swampy area. Hivyo kazi ya pale ilikuwa kubwa kuliko ya nyegezi.
Tukipitaga na daladala utaona kila abiria shingo imegeuka anatikisa kichwa na hv maeneo mengi wametoa mabatiKimuonekano nyegezi iko Bomba tuache utani
Stendi ya nyegezi ni balaa asee inatamanisha kuiangalia mara mbili mbili hakika ni international bus terminal😍😍😍Kimuonekano nyegezi iko Bomba tuache utani
HakikaaaaTukipitaga na daladala utaona kila abiria shingo imegeuka anatikisa kichwa na hv maeneo mengi wametoa mabati
Ukweli ni kuwa hlo jengo halifai, TAA wapo sahihi, naunga mkono hoja za TAA, kulikuwa na matumizi ya hovyo Sana ya hcho kiwanja cha ndege , design ya Kwanza ilikuwa ipo vizur , na ujenzi ilianza kipind nafkr cha kikwete badae ukakwama, ghafula bin vuu , likaanza kujengwa jengo kama karakana , moja ya maamuzi ya kukurupuka ya JPM .....!!Nimemaliza kumsikia RC malima kuhusu uwanja wandege mza!! Kumbe shida ni nani anapaswa kuwa mmiliki wa terminal hiyo ikiisha!!
Inasemekana wamiliki wa uwanja huwa ni TAA, sasa nikama wamelisusa jengo maana wao walikiwa washa design kujenga jengo la terminal la kisasa zaidi kwa bilioni 32 lakini kinyume na utaratibu almashauri zikaelekezwa kujenga jengo la muda kwa kutumia fedha zao bila kuwa shirikisha TAA, sasa TAA hawalitaki hilo jengo wanasema lipo kama standnya bus🤣🤣🤣 wanasema liwe supermarket🤣 wao wanataka wajenge lao la b32, na kama watalazimishwa kupewa hilo basi wao wawe wamiliki moja kwa moja na watalibadili matumizi wakati huo huo mkoa nao hawataki kuliachia jengo!! Wanasema kwakuwa ni wao wametoa fedha wanahaki ya kukusanya mapato!! Mwisho wasiku jengo limekosa suluhu 🤣🤣🤣🤣
af mkuu wa mkoa anamuita kiongozi wa TAA alietuma msg kwa waziri mbarawa ni mnafiki Hawa jamaa wapo sahihi sana hawatak siasa iingie kwny uwanja wa ndege inabd watujengee jengo zuri la Zaid ya bilion 32Ukweli ni kuwa hlo jengo halifai, TAA wapo sahihi, naunga mkono hoja za TAA, kulikuwa na matumizi ya hovyo Sana ya hcho kiwanja cha ndege , design ya Kwanza ilikuwa ipo vizur , na ujenzi ilianza kipind nafkr cha kikwete badae ukakwama, ghafula bin vuu , likaanza kujengwa jengo kama karakana , moja ya maamuzi ya kukurupuka ya JPM .....!!
Ushauri wangu hlo jengo ligeuzwe liwe tank la kuhifadhia mafuta ya ndege
Alilojenga kikwete liko wapi?Ukweli ni kuwa hlo jengo halifai, TAA wapo sahihi, naunga mkono hoja za TAA, kulikuwa na matumizi ya hovyo Sana ya hcho kiwanja cha ndege , design ya Kwanza ilikuwa ipo vizur , na ujenzi ilianza kipind nafkr cha kikwete badae ukakwama, ghafula bin vuu , likaanza kujengwa jengo kama karakana , moja ya maamuzi ya kukurupuka ya JPM .....!!
Ushauri wangu hlo jengo ligeuzwe liwe tank la kuhifadhia mafuta ya ndege
Nyegezi ni balaa sana ile stand ina mvuto wa hatariStendi ya nyegezi ni balaa asee inatamanisha kuiangalia mara mbili mbili hakika ni international bus terminal😍😍😍
Alilojenga kikwete liko wapi?
Kwani Taa wamekatazwa kujenga jengo Lao. Taa wanalitaka hili jengo mnalolikandia, sasa kama wana pesa si wawarudishie halmashauri ndio walichukueaf mkuu wa mkoa anamuita kiongozi wa TAA alietuma msg kwa waziri mbarawa ni mnafiki Hawa jamaa wapo sahihi sana hawatak siasa iingie kwny uwanja wa ndege inabd watujengee jengo zuri la Zaid ya bilion 32
Hivi ukiwa unatokea Kisesa kuelekea Usagara ukivuka Fela unapita Bukumbi?ila wadau njia ya kwenda usagara bukumbi Hadi kigongo ina watu wengi sana sahv sahv kule kuna mataasis yamejenga shule manake ukiwa buhongwa hata saa 4 uck ile njia unapata usafir changamoto ni barabara ya usagara kisesa ukitoka sanji tu huko kwingine ni mapori labda kidogo na pale kona watu wamejenga jenga ukitoka hapo pori makaz yameanzia igekemaja Hadi kisesa ila njia ya usagara to kigongo miaka 3 ijayo panajaa
Bajeti ya kikwete ilikuwa kama skosei ni billion 105, kuanzia control tower , runway , na badae terminal , bati zikazungushwa vyema kabisa na mkandarasi akawa site Kwa ajili ya jengo la abiria , design ya Kwanza ilikuwa ya hovyo badae ikaja design Kali kabisa ya ukweli, unaweza chek hii video hapaAlilojenga kikwete liko wapi?
Bajeti ya kikwete ilikuwa kama skosei ni billion 105, kuanzia control tower , runway , na badae terminal , bati zikazungushwa vyema kabisa na mkandarasi akawa site Kwa ajili ya jengo la abiria , design ya Kwanza ilikuwa ya hovyo badae ikaja design Kali kabisa ya ukweli, unaweza chek hii video hapa
ilikuwa Bomba Sana , kule skyscraper city kila kitu kipo , yaan huo mchoro ukiuangalia huwez sifu hlo jengo lililopo sa hv , ni kama taka taka tuu, lakni kama tunavyojua kipind cha kikwete kulikuwa na ufujaji mkubwa wa pesa , usimamizi haukuwa poa , na hata pesa haikutoka vyema , JPM alichopaswa kufanya ni kufund pesa iliyotakiwa kama alivyokomaa kuikamilisha terminal 111 ya DSM ambayo pia kikwete aliiacha ikiendelea,....!!!
![]()
Hapana bukumbi ipo Katikati ya usagara na kigongo ferryHivi ukiwa unatokea Kisesa kuelekea Usagara ukivuka Fela unapita Bukumbi?