Si ipo ya makongoro.ni dual ,,,ukija Nyerere road kuna TRI Lanes carriage .... serikali inatakiwa ipige njia sita kuanzia junction ya kenyata road Hadi Usagara round about..ipige njia sita kutokea buzuruga mataa Hadi round about ya kisesa , ipige njia nne kutokea buzuruga mataa Hadi pasiansi na ijenge interchange buzuruga...na pasiansi..imagine hili jiji lingekuwa modern sana