Mwanza City: The Photo Gallery

Hv mbele ya kahama kabla haujafika junction ya tx huwa kuna eneo kubwa sana au kuna project kubwa au ni eneo la viwanda?
 
Hv mbele ya kahama kabla haujafika junction ya tx huwa kuna eneo kubwa sana au kuna project kubwa au ni eneo la viwanda?
Jeshi / Airport. Hio barabara imekatiza eneo nyeti tu, nadhani ukiwa drajaniunaelekea Ilalila pale Bondeni upande wa kushoto kuna nyumba/ ofisi iko peke yake nisikia huwa ni ya wazee wakazi
 
Jeshi / Airport. Hio barabara imekatiza eneo nyeti tu, nadhani ukiwa drajaniunaelekea Ilalila pale Bondeni upande wa kushoto kuna nyumba/ ofisi iko peke yake nisikia huwa ni ya wazee wakazi
Yaani .kule butimba wanakojenga mradi wa maji ..Kuna eneo kubwa zuri na la kijani ,lakin lile eneo limeshikwa na jeshi na magereza..Pako vizuri kweli,,,,,
 
Picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…