MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,913
- 9,012
Kwahiyo hilo daraja likikamilika kutakuwa hakuna sababu ya kivuko.Hilo daraja ni zaidi ya kuunganisha Mwanza Jiji na Sengerema au Mwanza Mkoa na Geita. Ndio maana Ilemela wamejiwahi parking lot ya magari ya mizigo hata Nyamagana nasikia wanajenga yao Buhongwa
Halafu hilo daraja ninavyojua litaunganisha Geita, Bukoba road.
Hayo magari ya mizigo yatakuwa ni yale yanayobeba mizigo Mwanza ??



halafu zote zinapishana bei kwa ushindani