Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kuna siku pia nilipiga ruti ya Airport - Nyansishi lakini nilishuka Stand ya Igombe nikaunga ruti ya Luchelele Mzunguko nilipofika pale malimbe wakagoma kwenda hadi Luchelele ikabigi nichukue boda nikashuka nayo hadi chini kule boda akaniambia hapa ndio Luchelele,
Nikashuka kwenye boda kuna center flani imechangamka pale akaniambia ukiende mbele zaidi unakutuna na sehemu ya ziwa ambako ndio daladala za Luchelele zinatakiwa kuishia huko, nikasema poa nikasubilia kama robo saa hivi nikaona hiace ya Luchelele inaenda huku boda alikoniambia,
Nikaipiga mkono nikashuka nayo hadi inapoishia, Dah nilistaajabu baada ya kukutana na mwalo flani hivi jamaa wanasema huwa kuna mitumbwi inakuja kuleta mkaa na mazao ya nafaka kutoka Geita pia wakaniambia viongozi kibao wa mkoa wa Mwanza wanamiliki viwanja maeneo hayo....
 
Nyegezi
 

Attachments

  • IMG20220909152337.jpg
    IMG20220909152337.jpg
    875 KB · Views: 14
Hahaaa iyo ruti Kisesa- Nyashishi ni noma inachafua zaidi ya 20km...

Mi nikiwa likizo Mwanza huwa nachagua zile ruti ndefu mfano Airport - Kishiri au Kisesa nakaa zangu seat ya mbele na driver naaenjoy madhari ya Mwanza nikifanya utalii wa ndani...
Hata mimi nimefanya hivyo mwezi mei nilipokuja Mwanza kikazi
 
Na bado naona sheli nyingi kipande cha Usagara-Kisesa na Buhongwa - Igoma kuna sheli zitafunguliwa nyingi tu
Ile njia ya kisesa to Usagara.. the future is exciting..Kuna shell Zaid ya tatu zinajengwa ,na Ile njia Iko strategically sana ,Kuna eneo linaitwa Kona ya fela ukiwa pale unakuwa kati kati ya wilaya 3 . misungwi,magu na nyamagana.hiki kieneo kimeanza kuchangamka kama una ona mbali ,Bora ununue eneo maeneo haya ..utakuja nishukuru baada ya miaka 5
 
Aisee nimeshangaa sana kipande Kati ya buhongwa na mkolani ambacho ni less than 5kms kina vituo vya mafuta karibu 20+

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Zamani barabara ya airport ilikuwa na sheli chache sana .lakin leo Kuna shelli za kutosha ... what's astonished me ni kwamba barabara ya pasiansi to buzuruga nilijua Ina magari machache ila siku hiz jion magari ni mengi sana plus daladala..ujenzi wa Petro station umepafanya nyasaka iwe ni great place
 
Ile njia ya kisesa to Usagara.. the future is exciting..Kuna shell Zaid ya tatu zinajengwa ,na Ile njia Iko strategically sana ,Kuna eneo linaitwa Kona ya fela ukiwa pale unakuwa kati kati ya wilaya 3 . misungwi,magu na nyamagana.hiki kieneo kimeanza kuchangamka kama una ona mbali ,Bora ununue eneo maeneo haya ..utakuja nishukuru baada ya miaka 5
Ninataka kununua eneo maeneo hayo, kuna mtaa unaitwa Igudija B kwahiyo unashauri nijichukulie???
 
Ninataka kununua eneo maeneo hayo, kuna mtaa unaitwa Igudija B kwahiyo unashauri nijichukulie???
Ofcourse,mi nakushauri ..Kwa sababu zifuatazo ..
ujio wa wilaya ya kisesa...by 2025 itakuwa ni agenda ya kushawishi apate kura ..
barabara hyo inazidi kuwa ya mkakati usafiri wa mabus ya musoma ,malori ,na mabus yaendayo nyamhongolo Toka mikoani yatakuwa yanapita .
Ujenzi wa sGr .ambapo mji wa fela utaungana na kisesa kupitia hayo maeneo .
Eneo Hilo ni transport corridor muhimu inayounganisha wilaya nne za mwanza , nyamagana,(kishiri), misungwi,magu(kisesa) ,na kwimba kupitia njia ya koromije ambapo inaenda Hadi simiyu ..
nakuhakikishia ukinunua kiwanja Cha milioni 1 Leo .2025 utakiuza 5 milioni ..
 
Maeneo strategic mwanza ukinunua kiwanja unakuwa umefanya uwekezaji wa maana .ni haya
1.Maeneo yote ya njia ya kisesa -usagara
2.njia ya kuelekea kigongo ferry
3.Njia ya mkuyuni kuelekea mhandu(kanyerere, nyagurugru,n.k)
4 . igombe ( Kuna uwekezaji mkubwa unafata huko soon)
5 Kayenze
6 kishiri
 
Ile njia ya kisesa to Usagara.. the future is exciting..Kuna shell Zaid ya tatu zinajengwa ,na Ile njia Iko strategically sana ,Kuna eneo linaitwa Kona ya fela ukiwa pale unakuwa kati kati ya wilaya 3 . misungwi,magu na nyamagana.hiki kieneo kimeanza kuchangamka kama una ona mbali ,Bora ununue eneo maeneo haya ..utakuja nishukuru baada ya miaka 5
Transit nyingi za Mombasa-Rwanda/ DRC ndio itakuwa boda lao baada ya JPM bridge kuanza. Njia ya Mombasa Kupitia Kampala ni ndefu sana. Ndio maana walioona mbali njia nne hazikwepeki barabara ya Musoma hata hiyo ya Fela itaongezwa tu.
 
Back
Top Bottom