Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Ndio maana sahv ilemela wakiletewa mirad wanafanya kaz sana kwa bidii leo wanajenga soko kali pale kirumba bado buzuruga ilipokuwa stand watawekeza wakimaliza wanakuja kuboresha soko la mji wao wa buswelu
 
Kisesa undefeated😄😄😄😄
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-115850.jpg
    Screenshot_20220918-115850.jpg
    136.8 KB · Views: 18
1663493557981.png

Huu mzigo ukikamilika, inflow na outflow ya magari/ watu kuelekea Magharibi itaongezeka sana Mwanza, Northern corridor ya East Africa inaweza hamia Sirali -Mwanza RD
 
Hivi hili daraja linaunganisha wapi na wapi na lengo lake kubwa ni nini?
Kuna wenzetu, Congo/ Rwanda huwa wanapitishia mizigo yao baadhi bandari ya Mombasa, Sasa bbadhi ya Transit huwa zinapitia Kampala ambayo ni njia ndefu ukilinganisha na hii Mwanza, Sirali. Naamini daraja likikamilika kuna baadhi ya mizigo ya Rwanda/ DRC ibabadilisha root Kutoka Mombasa-Kampala to Mombasa - Mwanza
 
Kuna wenzetu, Congo/ Rwanda huwa wanapitishia mizigo yao baadhi bandari ya Mombasa, Sasa bbadhi ya Transit huwa zinapitia Kampala ambayo ni njia ndefu ukilinganisha na hii Mwanza, Sirali. Naamini daraja likikamilika kuna baadhi ya mizigo ya Rwanda/ DRC ibabadilisha root Kutoka Mombasa-Kampala to Mombasa - Mwanza
Hilo daraja ni zaidi ya kuunganisha Mwanza Jiji na Sengerema au Mwanza Mkoa na Geita. Ndio maana Ilemela wamejiwahi parking lot ya magari ya mizigo hata Nyamagana nasikia wanajenga yao Buhongwa
 
Back
Top Bottom