Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Yah Nyasaka saizi imebadilika sana hasa baada ya hiyo barabara inayoenda kuunga na Buzuruga kujengwa....
Wazazi wanaishi Nyasaka center kwa juu kidogo karibia na Shule ya Secondary Nyasaka...
Hilo eneo kwa sasa panajengeka sana mijengo ya maana pia kuna barabara ya vumbi inayounganisha barabara ile inayotoka saba saba kupita Kiseke, PPF , Nsumba hadi Buswelu na hii ya Nyasaka hadi Buzuruga...
Hahahaha Mkuu umetaja home kabisa, hata hapo Nyasaka sec nimesoma form four ya kwanza kumaliza sisi, home ni hapo karibu na soko
 
Mlima unaotizamana na uwanja wa ndege watu wanashusha vitu vya maana sana leo nilikuwa pande hizo nimefanikiwa kuja na hizi picha kwa kutumia simu
1662655786000-01.jpeg
1662655919583-01.jpeg
1662655948021-01.jpeg
1662656089723-01.jpeg
1662656115143-01.jpeg
1662656141117-01.jpeg
1662656329875-01.jpeg
1662656347337-01.jpeg
1662656385424-01.jpeg
1662656656149-01.jpeg
 
Kuna jamaa tumetoka nae kisesa ni kwny Hiace ni mgen mwanza anaenda nyegezi stand tunafika buzuruga anauliza hv hatufiki stand abiria wakamwambia kaka lala kabisa stand ya nyegezi bado tumeenda tumefika mkuyun akasema hv bado tu jamaa amekiri aisee hili jiji ni kubwa mnoo aisee nikamwambia mji umeenda had misungwi
Angetokea Kayenze
 
Kuna jamaa tumetoka nae kisesa ni kwny Hiace ni mgen mwanza anaenda nyegezi stand tunafika buzuruga anauliza hv hatufiki stand abiria wakamwambia kaka lala kabisa stand ya nyegezi bado tumeenda tumefika mkuyun akasema hv bado tu jamaa amekiri aisee hili jiji ni kubwa mnoo aisee nikamwambia mji umeenda had misungwi
Hahaaa iyo ruti Kisesa- Nyashishi ni noma inachafua zaidi ya 20km...

Mi nikiwa likizo Mwanza huwa nachagua zile ruti ndefu mfano Airport - Kishiri au Kisesa nakaa zangu seat ya mbele na driver naaenjoy madhari ya Mwanza nikifanya utalii wa ndani...
 
Back
Top Bottom