Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
umesema vyema sana izo barabara ni muhimu sana kwa mwanza na nilisha sema apa huu mji ni mkubwa njia mbili kwa sasa sio size yetu.. pia nyumba za milimani azina muonekano mzuri rasimisa jenga aparment humo.Hongera kaka kwa kutujuza.
Mimi huwa nasema kila siku mwanza itaendelea kuwa mji wa pili kwa ukubwa for ages, kuna watu huwa wanahofia dodoma lakini kiuhalisia dodoma bado sana.
Tatizo kubwa mwanza ni barabara, hata zinazojengwa nje ya CBD ziko cheap hazina njia za waenda kwa miguu yaani inapunguza mvuto wa barabara.
Nyumba za milimani nazo tatizo zinaharibu muonekano hasa pale kati, na ndio watu wengi huona hizo nyumba na kufikiria mza yote iko hivyo.
Eneo likichangamka kama nyegezi jiji wawe wananunua baadhi ya nyumba na kubadilisha matumizi, mfano wanavunja wanaplan malls au parking etc.
Bajeti ya sasa tuna kama 40km kama zikijengwa.
Njia ya shy na Musoma zikitanuliwa kuwa njia nne mji utapendeza sana.
Ushauri kwa viongozi wa mwanza, nawapa idea ya Chanzo kingine cha mapato.
Kama walivyo jenga stendi za mabasi basi wafanye hivyo kwenye usafiri wa maji, wajenge bandari maalumu kwa ajili ya meli, feri na boti, bandari ziwe zina maduka migahawa nk then wenye vyombo vya usafiri wawe wanatumia kwa kulipia kama ilivyo mabasi au ndege hakuna anayejenga airport yake. Biashara huria huwa ina mipaka yake vilevile.
well said... apo kwenye parking za ghorofa nimekuelewa sanaaaaaaaa big up....Kuhusu foleni kwa mawazo yangu ni hivi, nafikiri nje ya mji barabara zitapanuliwa ila ndani ya mji waweke utaratibu wa one way.
Kwanza utaratibu wa parking za barabarani uvunjwe ili njia ziwe pana, jiji waongee na nhc baadhi ya nyumba zao zivunjwe wajenge parking za ghorofa.
Au jiji wanunue nyumba mbovu mbovu katikati ya jiji wajenge parking za ghorofa.
Ukiondoa parking barabarani hata nyerere road inaweza kuwa na four lanes.
Kuna idea ya one way nitasketch mchoro nikiwa free niwatumie muone
View attachment 2343698
View attachment 2343699
Apo kamanga ijengwe port ya maana maana huu mzigo sio wa kitoto ni next levo saiv 71%
tutakua huge sana
Kwa suala la ukubwa wa mji, hakuna mji utakuja kuitoa mwanza nafasi ya pili never ever. E bhana mji umepanuka vibaya mno.View attachment 2343683
Kuna watu huwa ikianza battle wanapost nyumba moja moja, huwa najiuliza nikipost nyumba moja moja mza nitazimaliza kweli😄😄
Huwa una mawazo mazuri lakin viongozi wetu wako short sighted ,hawatazamagi mbali yaani ..nchi iko kithird world sana ..Hadi wapate majanga mazito ndo wajiongezeView attachment 2343690
View attachment 2343692
Mwanza ni mji mkubwa sana lakini katika ili eneo la uokozi tumejisahau. hapa tunajenga majengo marefu sana ila viokozi kwenye majanga atuna na ni vichache vimechoka... viongozi ongezeni nguvu pia apa....
pia juzi juzi apo kulikua natukio la moto kwenya casino apo mwanza hotel.. nguvu ilikua kidogo..
tuachane na fire za airport..
USHAURI..
zianzishwe brach za jezi la uokozi BUHONGWA, IGOMA, NA city center itakua poa sana..........
i love tz i love mwanza...................................
Hypocritism ya watanzania na ignorance Ni factor kubwa ya hizo nyumba kuwepo hapo ...Kila maamuzi ya kuziondoa wanasiasa wanaingilia kati ..maybe serikali inatakiwa ifanye participatory approach linapokuja suala la kuhamisha watu ..juzi wawekezaji wamekuja lakin watu wameupiga kelele kweliumesema vyema sana izo barabara ni muhimu sana kwa mwanza na nilisha sema apa huu mji ni mkubwa njia mbili kwa sasa sio size yetu.. pia nyumba za milimani azina muonekano mzuri rasimisa jenga aparment humo.
Wazo zuri sana..natamani madiwani wetu wa mwanza wawe wanapitia huu uzi kujipatia mawazo mazuri kwaajili ya kuboresha jiji letu.Hongera kaka kwa kutujuza.
Mimi huwa nasema kila siku mwanza itaendelea kuwa mji wa pili kwa ukubwa for ages, kuna watu huwa wanahofia dodoma lakini kiuhalisia dodoma bado sana.
Tatizo kubwa mwanza ni barabara, hata zinazojengwa nje ya CBD ziko cheap hazina njia za waenda kwa miguu yaani inapunguza mvuto wa barabara.
Nyumba za milimani nazo tatizo zinaharibu muonekano hasa pale kati, na ndio watu wengi huona hizo nyumba na kufikiria mza yote iko hivyo.
Eneo likichangamka kama nyegezi jiji wawe wananunua baadhi ya nyumba na kubadilisha matumizi, mfano wanavunja wanaplan malls au parking etc.
Bajeti ya sasa tuna kama 40km kama zikijengwa.
Njia ya shy na Musoma zikitanuliwa kuwa njia nne mji utapendeza sana.
Ushauri kwa viongozi wa mwanza, nawapa idea ya Chanzo kingine cha mapato.
Kama walivyo jenga stendi za mabasi basi wafanye hivyo kwenye usafiri wa maji, wajenge bandari maalumu kwa ajili ya meli, feri na boti, bandari ziwe zina maduka migahawa nk then wenye vyombo vya usafiri wawe wanatumia kwa kulipia kama ilivyo mabasi au ndege hakuna anayejenga airport yake. Biashara huria huwa ina mipaka yake vilevile.
Kuhusu barabara,mi siwezi walaumu madiwan au mbunge ..nimemsikia Mara nyingi mbunge akiomba upanuzi wa barabara ya kenyata lakin majibu ya serikali ni feasibility study..Wazo zuri sana..natamani madiwani wetu wa mwanza wawe wanapitia huu uzi kujipatia mawazo mazuri kwaajili ya kuboresha jiji letu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Road networks tu ndio mchawi, kila eneo Mwanza likiwa llinafikika kwa urahisi itakuwa bonge la mji. Hiyo milima ya katikati ya jiji wapitishe barabara za lami.Kwa suala la ukubwa wa mji, hakuna mji utakuja kuitoa mwanza nafasi ya pili never ever. E bhana mji umepanuka vibaya mno.
Mkuu, usisahau tathmini yako kuhusu maeneo yaliyokuwa nje ya mji Kama Kisesa, Buswelu, Ilalila, Usagara, KigongoKwa suala la ukubwa wa mji, hakuna mji utakuja kuitoa mwanza nafasi ya pili never ever. E bhana mji umepanuka vibaya mno.
Yaan .umetoka mwanza zamani sana dah........Mkuu, usisahau tathmini yako kuhusu maeneo yaliyokuwa nje ya mji Kama Kisesa, Buswelu, Ilalila, Usagara, Kigongo
Maana binafsi nimetoka Mwanza 2013 wakati huo Mwanza inaishia Nyegezi, Igoma, Igogo, na Pasiansi.
Timeline ya maendeleo ya mwanzaMkuu, usisahau tathmini yako kuhusu maeneo yaliyokuwa nje ya mji Kama Kisesa, Buswelu, Ilalila, Usagara, Kigongo
Maana binafsi nimetoka Mwanza 2013 wakati huo Mwanza inaishia Nyegezi, Igoma, Igogo, na Pasiansi.