Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Wilaya mtapewa baada ya sensa ya watu na makazi na karibia kipindi Cha kampeni...maana ccm washatuonamo
Raisi amesema serikali imeachana na mipango ya kuongeza maeneo ya kiutawala ....
 
Kitangiri
 

Attachments

  • 20220811_142413.jpg
    20220811_142413.jpg
    180.7 KB · Views: 25
Hii ndio maana halisi ya pesa kuhamisha milima
 

Attachments

  • 20220808_171634.jpg
    20220808_171634.jpg
    200.2 KB · Views: 26
Hata kiuongozi, Ilemela kwasasa wako vizuri sana.

Mwaka Jana, Wizara ya fedha ilikopesha Halmashauri 55 ( Awamu ya kwanza ) ili zipime viwanja na kuuza kwa Wananchi.

Ilemela wanapima Nyafla na Sangabuye. Na hata ambao hatuko Mwanza wanatoa updates kila kitu.



Lakini Nyamagana wanapima Lwahnima lakini haijulikani hata wanafanya Nini. Wapo wapo tu!
Aisee kama ndoto vile, subiri niwahi nichukue Kiwanja maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom