Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Mwanza????Ujenzi wa soko kuu la mwanza umesimama toka alhamis, mkandarasi anadai certificate mbili, serikali haitaki kupeleka fungu kumalizia soko.
Mwanza????Ujenzi wa soko kuu la mwanza umesimama toka alhamis, mkandarasi anadai certificate mbili, serikali haitaki kupeleka fungu kumalizia soko.
Hayo tuyategemee sana kwa mwanza yetu, nashangaa hata tunapoongelea flyover tunapoteza muda tu.Ujenzi wa soko kuu la mwanza umesimama toka alhamis, mkandarasi anadai certificate mbili, serikali haitaki kupeleka fungu kumalizia soko.
Tena bila Magufuli hata project za stendi mbili,JPM bridge tungezisikia kwenye magazeti!Hayo tuyategemee sana kwa mwanza yetu, nashangaa hata tunapoongelea flyover tunapoteza muda tu.
Lile jengo la Mkoloni litavunjwa?View attachment 2318927
Mwanza central-sgr station itakavyokuwa kama itajengwa
Hii ni render ya fella au sgr station ya Mwanza townView attachment 2318927
Mwanza central-sgr station itakavyokuwa kama itajengwa
Kaka nimeandika mwanza sio felaHii ni render ya fella au sgr station ya Mwanza town
Hilo lazima lile nyundoLile jengo la Mkoloni litavunjwa?
View attachment 2318938
Itapita bandari zote mbili za Mwanza north na Mwanza south.Kwani Station itakuja Hadi Mjini!?
Mwanza city council..wana mradi wa viwanja luchelele na isamilo ...Yaani inashangaza Lwahnima, Bulale kunapigwa gap mpaka na kata za Ilemela Kama Ilalila, Nyamadoke
Idara ya mawasiliano , nyamagana wako poor sana.ila Kuna miradi mingi ya viwanja na maendeleo nyamagana.kuliko hata ilemelaHata kiuongozi, Ilemela kwasasa wako vizuri sana.
Mwaka Jana, Wizara ya fedha ilikopesha Halmashauri 55 ( Awamu ya kwanza ) ili zipime viwanja na kuuza kwa Wananchi.
Ilemela wanapima Nyafla na Sangabuye. Na hata ambao hatuko Mwanza wanatoa updates kila kitu.
Lakini Nyamagana wanapima Lwahnima lakini haijulikani hata wanafanya Nini. Wapo wapo tu!
Ndio ..inakuja Hadi townKwani Station itakuja Hadi Mjini!?
Isamilo huko ambako wameuza viwanja kwa vigogo😄Mwanza city council..wana mradi wa viwanja luchelele na isamilo ...
sasa ulitaka wanunue Kina nani....Isamilo huko ambako wameuza viwanja kwa vigogo![]()
Lete mamboLeo tuko bwiru
sema ndugu yangu najitahidi kutuma picha ila naona zinakataa,ngoja nijaribu tenaLete mambo