Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

FB_IMG_1659476007593.jpg
 
Huwezi kuweka fly over kama Kuna magari machache ..., flyover zinawekwa strategically..
Sawa mkuu lkn wenzetu kenya wanafanya hivyo kwenye miji yao tena wanaweka nje ya miji kabisa wakilenga mbeleni kutakuwa na ongezeko la watu na magari tu, sisi adi tuone usumbufu mkubwa wa magari na watu ndio tunafanya, tuige mataifa ya watu huko.
 
Sina uhakika labda Mbunge wao sio msumbufu kwa wizara husika. Ilemela ni mpya lakini inakuja kasi sana kuliko Nyamagana.
Nyamagana wapo nyuma kwa kila kitu mpaka usimamizi wa miradi.
Wakati mkuu wa mkoa anakabidhiwa stendi ya Nyamhongolo aliwasifu watenndaji wa Ilemela na kuwaambia watu wa Jiji waje Ilemela wajifunze namna ya kusimamia miradi iishe kwa wakati.
Yaani inashangaza Lwahnima, Bulale kunapigwa gap mpaka na kata za Ilemela Kama Ilalila, Nyamadoke
 
Angelina anaupiga mwingi, pia nadhani nguvu yake ya ushawishi kwenye serikali ya awamu ya tano na sita.
Hata kiuongozi, Ilemela kwasasa wako vizuri sana.

Mwaka Jana, Wizara ya fedha ilikopesha Halmashauri 55 ( Awamu ya kwanza ) ili zipime viwanja na kuuza kwa Wananchi.

Ilemela wanapima Nyafla na Sangabuye. Na hata ambao hatuko Mwanza wanatoa updates kila kitu.



Lakini Nyamagana wanapima Lwahnima lakini haijulikani hata wanafanya Nini. Wapo wapo tu!
 
Back
Top Bottom