Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Mambo mazuri hayahitaji haraka...hili jengo litakamilika kama kete ya kuombea kura 2025 ...
Hili nalo naona liko vilevile
Miradi mingi ya mza naona kama inawekwa kwenye mkakati wa kuombea kuraMambo mazuri hayahitaji haraka...hili jengo litakamilika kama kete ya kuombea kura 2025 ...
Ndo hvyo ..subiri 2023 au 24 ...utaona speed ya miradiMiradi mingi ya mza naona kama inawekwa kwenye mkakati wa kuombea kura
Wana Mwanza, msisahau Jiji linahitaji Wilaya ya tatu ili likue kwa Uhuru. Ilemela na Nyamagana pamejaa sasa.Ndo hvyo ..subiri 2023 au 24 ...utaona speed ya miradi
Kwa Samia mtasubir sana.Wana Mwanza, msisahau Jiji linahitaji Wilaya ya tatu ili likue kwa Uhuru. Ilemela na Nyamagana pamejaa sasa.
Tuma picha moja moja.sema ndugu yangu najitahidi kutuma picha ila naona zinakataa,ngoja nijaribu tena
Siyo hisani. AlazimishweKwa Samia mtasubir sana.
What a view, stunning☀️☀️
Hii sahau kabisa kwa sasaWana Mwanza, msisahau Jiji linahitaji Wilaya ya tatu ili likue kwa Uhuru. Ilemela na Nyamagana pamejaa sasa.
Wilaya mtapewa baada ya sensa ya watu na makazi na karibia kipindi Cha kampeni...maana ccm washatuonamoHii sahau kabisa kwa sasa
Inahusu niniHii project ya luchelele sijiui itakuwepo kweli?
View attachment 2320335View attachment 2320336View attachment 2320337
Sidhan kama Kuna mpango huo .as long as ofisi iliyopo ni nzuri na imefanyiwa ukarabatiHivi niulize ndugu zangu nimekua nikiona mikoa mbali mbali wakizindua majengo ya ofisi za wakuu wa mikoa...
Vipi kwa Mwanza kuna jengo linalojengwa kwa ajili ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa au tayari lipo...?