Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hv kutoka nyamhongolo hadi buswelu ni km 9 ,,,mbona umbali kama sielewi kwa sababu kutoka national hadi buswelu ni km 5 wakati national huwa napaona ni mbali kuliko nyamhongolo
Mkuu utakuwa haupo vizuri kwenye measurements๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, umbali kutoka ilipo stendi ya nyamhongolo kupitia nyamadoke adi buswelu round about ya kutokea kiseke sio umbali wa kitoto mkuu.
Umbali kutoka stendi tu ya nyamhongolo adi mtaa wa barabara ya nyerere hapo nyamhongolo ni kama km 4 bado adi nyamadoke kufika buswelu ni kama 9.5km hivi mkuu.
 
Hivi ujenzi wa barabara Buswelu - Kahama - Ilalila unaendelea? wanaweka lami au molamu tu?
 
Ku

Kuna mwenye michoro ya Buzuruga commercial complex

Hiyo ya Airport wameanza kuweka taa na nguzo kwa ajili ya kusimikia taa zimefika iloganzala
Hiyo naona bado haija leak, tutaipata tu humu, wadau huwa hawatuangushi ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜
 
M
Ilemela wako vizuri, mipango yao kwa bajeti ijayo inatia moyoView attachment 2272492
Maeneo ya Ihalalo / Kabusungu maeneo mengi bado yapo wazi. Kama huo mpango wa investiment center hupo. wadau ndio sehemu za kushika maeneo huko. Naimani bado bei itakuwa ya chini sana bado. Labda kama maeneo tayari yapo chini ya Taasisi kubwa.
 
Nyamagana sijua wanafeli wapi ,au geographical feature inawaangusha milima milima...yaan sioni project za ujenzi wa barabara ukilinganisha na ilemela ,,,,,,hadi mkuu wa mkoa aliwasifu ilemela wako vizuri na hati yao ya CAG iko poa ...
Barabara ya kwenda kanyerere kutokea mkuyuni ina watu wengi sana na inaunganisha hadi Nyakato , Igoma.lakini kuna vumbi na magari ya kule yanajaza hadi kero kwa sababu ya uchache unaosababishwa na ubovu wa barabara .
Mahina ni eneo kubwa sasa mjini kuna watu wengi lakini pametengwa kama sio mwanza ,kule ni shida tupu kuanzia barabara,huduma za umeme na maji kidogo sa hv ..
Luchelele nako kumetengwa hadi watu wanasema ile ni kigamboni ya mwanza
Nyamagana wamelala sana, nazani hii nguvu ya Ilemela inatokana na mama yetu Angelina Mabula ana fight sana.
 
Pia wameweka traffic lights maeneo ya Mwaloni,Nata, nyakato sokoni na maeneo yanayofata ni mlango mmoja, igoma kona ya kishiri, sayona kona kwenda buswelu maana ajali zimekuwa nyingi kwenye makutano ya barabara hizo pia mpishano wa magari pia
 
Pia wameweka traffic lights maeneo ya Mwaloni,Nata, nyakato sokoni na maeneo yanayofata ni mlango mmoja, igoma kona ya kishiri, sayona kona kwenda buswelu maana ajali zimekuwa nyingi kwenye makutano ya barabara hizo pia mpishano wa magari pia
Mabay flyovers zinahusika, traffic light huwa zinaongeza jam. Kwenye bajeti ya mwaka 2022/23 pesa kwa ajili feasibility study kwa ajili ya ujenzi wa Mabay flyovers kwa Mwanza, Dom na Dsm ipo. kuna maeneo kama Buzuruga, Pasiansi/ Nyakato Junctions litahusika dude
 
Mabay flyovers zinahusika, traffic light huwa zinaongeza jam. Kwenye bajeti ya mwaka 2022/23 pesa kwa ajili feasibility study kwa ajili ya ujenzi wa Mabay flyovers kwa Mwanza, Dom na Dsm ipo. kuna maeneo kama Buzuruga, Pasiansi/ Nyakato Junctions litahusika dude
Naona barabara ya kenyatta road imesahaulika sana jamani ...na imeisha choka kabisa
 
Pia wameweka traffic lights maeneo ya Mwaloni,Nata, nyakato sokoni na maeneo yanayofata ni mlango mmoja, igoma kona ya kishiri, sayona kona kwenda buswelu maana ajali zimekuwa nyingi kwenye makutano ya barabara hizo pia mpishano wa magari pia
Hapa wametisha sana ,nata kulikua na usumbufu mkubwa sana, na mwaloni
Kongole kwao
 
Mabay flyovers zinahusika, traffic light huwa zinaongeza jam. Kwenye bajeti ya mwaka 2022/23 pesa kwa ajili feasibility study kwa ajili ya ujenzi wa Mabay flyovers kwa Mwanza, Dom na Dsm ipo. kuna maeneo kama Buzuruga, Pasiansi/ Nyakato Junctions litahusika dude
Hii itachukua mda, na ukizingatia nchi yetu kila siku mambo yanabadilika kutokana na uongozi
 
Back
Top Bottom