Habari za chini ya kapeti eng.Robert Gabriel kaondolewa kwa mambo makuu matatu kama yafuatavyo
1. Kupiga simu kwa waziri mkuu kwa kila jambo linaloendelea Mwanza, bila kumtaarifu aliyempa ulaji mfano madudu ya kwenye ujenzi wa meli wa mv mwanza hapa kazi tu, pamoja na muendelezo mbovu wa daraja la kigongo busisi.
2.Kwanini anapokuja Rais samia Mwanza wananchi wanakuwa wachache na shamrashamra zinakuwa kidogo kuliko jinsi Kasimu majaliwa alivyopokewa kwa shangwe na wananchi wengi walijitokeza kuja kumsikiliza.
3. Kampeni ya kujenga madarasa 11000 kwa nguvu ya wananchi hapa kinamdhalilisha rais kwani hela za covid 19 za kujenga madarasa hazikutosha

