Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kaletwa mlamba asali utakuja kuona jinsi miradi itakovyosua na mwanza itakavyo stuck. Anaitwa Malima
Samia ,,,ana hofu sana na mentality ya sukuma gang.....anataka watu submissive kwake.kiongozi akifanya kitu cha kuziba umaarufu wake anapigwa chini ..mtaka kapelekwa njombe baada ya kufanya outstanding Dodoma ..
 
Lakini uhitaji wa madarasa bado ulikuwa mkubwa na pesa zilikuwa hazitoshi naye katumia busara kuanzisha kampeni ya ujenzi wa madarasa.
Rais ni taasisi , inawezekana washauri wake ndo wameamua hvyo
 
Samia ,,,ana hofu sana na mentality ya sukuma gang.....anataka watu submissive kwake.kiongozi akifanya kitu cha kuziba umaarufu wake anapigwa chini ..mtaka kapelekwa njombe baada ya kufanya outstanding Dodoma ..
Ila huyu Mwamba alikuwa halali kwenye kuinua uchumi wa Mwanza nazani hii yote ni kwasababu alikuwa ni mzalendo wakweli wa mkoa wa Mwanza nazani huyu atakuwa ni mwenyeji wa hii kanda yetu ya ziwa.
 
Kama mlikuwa hamjui hii miradi ya soko pamoja na stendi zilikuwa zimesimama kwa miezi mitatu serikali iligoma kuleta pesa mwanza kukamilisha miradi lakini huyu Mwamba alijitoa mhanga kupambania pesa zije miradi ikamilike mungu ampiganie huko aendako🙏🙏
Rais ni taasisi , inawezekana washauri wake ndo wameamua hvyo
 
Kama mlikuwa hamjui hii miradi ya soko pamoja na stendi zilikuwa zimesimama kwa miezi mitatu serikali iligoma kuleta pesa mwanza kukamilisha miradi lakini huyu Mwamba alijitoa mhanga kupambania pesa zije miradi ikamilike mungu ampiganie huko aendako
Ndo hvyo tena
 
Ila huyu Mwamba alikuwa halali kwenye kuinua uchumi wa Mwanza nazani hii yote ni kwasababu alikuwa ni mzalendo wakweli wa mkoa wa Mwanza nazani huyu atakuwa ni mwenyeji wa hii kanda yetu ya ziwa.
Jamaa ni msukuma Pure, nimepata taarifa zake huku nilipo kwasasa (kikazi)

Ni mzaliwa wa Tarafa ya Itwangi kata ya Itwangi wilaya ya Shy DC njiani kabisa ukitokea Tinde Kama unaenda Kahama!
 
Ila huyu Mwamba alikuwa halali kwenye kuinua uchumi wa Mwanza nazani hii yote ni kwasababu alikuwa ni mzalendo wakweli wa mkoa wa Mwanza nazani huyu atakuwa ni mwenyeji wa hii kanda yetu ya ziwa.
Ni wa hapo hapo kanda ya ziwa! Sasa tumeletewa mswahili mwenye kiburi na maneno mengi Malima! Bora Mtaka angekuja mwanza ila Malima big No!
 
Habari za chini ya kapeti eng.Robert Gabriel kaondolewa kwa mambo makuu matatu kama yafuatavyo
1. Kupiga simu kwa waziri mkuu kwa kila jambo linaloendelea Mwanza, bila kumtaarifu aliyempa ulaji mfano madudu ya kwenye ujenzi wa meli wa mv mwanza hapa kazi tu, pamoja na muendelezo mbovu wa daraja la kigongo busisi.

2.Kwanini anapokuja Rais samia Mwanza wananchi wanakuwa wachache na shamrashamra zinakuwa kidogo kuliko jinsi Kasimu majaliwa alivyopokewa kwa shangwe na wananchi wengi walijitokeza kuja kumsikiliza.

3. Kampeni ya kujenga madarasa 11000 kwa nguvu ya wananchi hapa kinamdhalilisha rais kwani hela za covid 19 za kujenga madarasa hazikutosha😂😂😂
 
Habari za chini ya kapeti eng.Robert Gabriel kaondolewa kwa mambo makuu matatu kama yafuatavyo
1. Kupiga simu kwa waziri mkuu kwa kila jambo linaloendelea Mwanza, bila kumtaarifu aliyempa ulaji mfano madudu ya kwenye ujenzi wa meli wa mv mwanza hapa kazi tu, pamoja na muendelezo mbovu wa daraja la kigongo busisi.

2.Kwanini anapokuja Rais samia Mwanza wananchi wanakuwa wachache na shamrashamra zinakuwa kidogo kuliko jinsi Kasimu majaliwa alivyopokewa kwa shangwe na wananchi wengi walijitokeza kuja kumsikiliza.

3. Kampeni ya kujenga madarasa 11000 kwa nguvu ya wananchi hapa kinamdhalilisha rais kwani hela za covid 19 za kujenga madarasa hazikutosha
Mh...
 
Wakuu natanguliza shukrani za dhati kwenu wadau na wazalendo wa jiji letu la Mwanza na mkoa wetu wa Mwanza kwa ujumla.

Kumetokea teuzi za wakuu wa mikoa mbalimbali hapa nchi, kuna wengine wameachwa na wengine wakibadilishwa.
Kiini cha kuandika hapa leo ni kutaka kujua kutoka kwenu nyie wadau wa Mwanza, ni kipi kilichosababishwa mkuu wetu wa mkoa mchapa kazi eng.Robert Gabriel Luhumbi kutenguliwa ukuu wa mkoa wa Mwanza?
Kama kuna mdau atakayechangia naomba anitoe tongotongo kwani toka nijifahamu adi nimefika umri huu sijawahi kuona mkuu wa mkoa bora na mzalendo kama huyu ingawa kahudumu kwa muda mchache sana lakini kuna mengi mazuri na makubwa kafanya ndani ya mkoa wetu, yafuatayo ni mazuri aliyofanya japo ambayo mimi kitombile nitamkumbaka sana nazani haya ndio yalisababishwa atolewe?
1.kuhakikisha miradi ya mkoa wa Mwanza inakamilika kwa wakati?, kuna muda stendi na masoko yalikuwa yamesimama kutoka na pesa kutokufika kwa wakati badi kama mkuu wa mkoa alikuwa akiimiza serikali kupeleka pesa ili miradi ya mwanza ikamilike.

2.Kuzuia ubadhirifu wa pesa za umma, mfano alipoweka wazi wizi na ufisadi kwenye jengo la utawala la halmashauri ya sengerema.

3. Kukaa pamoja na wafanyabiasha mbalimbali wakubwa kwenye warsha mbalimbali na kuwasisitiza wafanye uwekezaji katika jiji la Mwanza.

4. Kuanzisha ujenzi wa shule 11000 katika mkoa wa Mwanza kwa nguvu za wananchi ili watoto wapate elimu bora

5.kuanzisha wazo la ujenzi wa barabara za lami ata kama ni 0.5km kwa pesa za tarura kuliko kutumia hizo pesa kwa kutengeneza na kuboresha mabarabara ya mjini yanayoharibika baada ya mvua kunyesha akasema ni bora tuwe tunajenga barabara imara kidogo kidogo kadri tutakavyopata pesa.

6.kupunguza ujenzi na wizi katika miradi ya kiserikali, majengo mengi yaliyojengwa chini ya kiwango aliweza kuyadhibiti.

7. Kuhimiza na kuanzisha ujenzi wa masoko mbalimbali kwa kuisumbua serikali kutafuta pesa kwaajili ya masoko ya mwanza kama ifuatavyo ujenzi wa soko la mchafu koge, makorobohi n.k alitaka yajengwe ikiwemo machinga complex.
N.B Mambo ni mengi sana adi nachoka kuandika inafikia hatua najiuliza huyu samia kwanini amefanya uhamuzi wa kumtoa huyu mkulungwa mzalendo.
Kama kuna mtu aranisaidia kuchukua hizi point na kuhanzisha uzi ni sawa tu lakini nimeona niandike humu wadau wa jiji la Mwanza wapate kuchangia kwa mawazo nimeandika sana nikiwa na mawazo sana juu ya hatima wa huu mkoa wangu.
Adam Malima huwa naona kapoa sana. Kwa Mkoa kama wa Mwanza tunahitaji RC mwenye kuweka headlines angalau mara moja au mbili kwa wiki.
 
Hili eneo mijengo ya maana inaitajika view yake imetulia sana
SHA_20220727_174135710_8.4.400.jpg
 
Back
Top Bottom