Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,816
- 218,479
Kama ulidhani sakata la ubunge kyela limemalizika basi futa mawazo hayo , taarifa kutoka kyela zinabainisha kwamba mgombea wa UKAWA Mh Abraham Mwanyamaki anaelekea mahakamani kupinga ubunge wa mwakyembe , tayari wananchi wa kyela wamefahamishwa kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika jimboni hapo , inasemekana kuna kata imeongezwa kinyemela huko Mwaya inaitwa serengeti , maana yake ni kwamba safari hii kyela ilikuwa na kata mbili zinazoitwa serengeti ! Moja ya mjini (ambayo ni halali ) na nyingine ya mwaya ( ambayo ni ya magumashi ), tuendelee kutega sikio .