Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Wenzenu wanavyoimarisha uchumi mnabaki mnalialia tu, kumbe ujinga umewakaa sana....
Akina nani hao wanaoimarisha Uchumi kama si CCM?
Wenzenu wanavyoimarisha uchumi mnabaki mnalialia tu, kumbe ujinga umewakaa sana....
hivi sifa za mtu kuwa Rais wa nchi ni zipi ambazo Anna Makinda hana?
Mmeishazoea
akili ndogo kuongoza akili kubwa ndani ya CCM. Ndio maana inakuwa
vigumu kwenu kujua nani anafaa kuwa rais na nani hafai...
Rais lazima awe na
akili timamu, Makinda hana akili timamu. Hawezi kuficha faili la Lema
kuhusu waziri mkuu Pinda kusema uongo wakati liko mezani kwake. Kama
hawezi kushugulikia vitu vidogo kama hivyo ataweza kuimarisha uchumi
kweli??
hakuna anayezaliwa ili awe rais!hata wewe unaweza kuwa raisi ndugu.
Makinda ni mwanamke wa shoka, we utabaki na wivu wako hapo
hahahaaaaa, usitake ncheke. chadema ndo kuna akili ndogo. mwenyekiti ni form four, katibu mkuu ana degree ya kanisa, information and publicity naye ni hovyo. halafu hao ndo wanaongoza maprofessor kama Abdallah Safari. chama kimelaaniwa hiki!
Ninasikiliza vichwa vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna Makinda kwa urais 2015.
My Take:
Uraisi sasa imekuwa ni JOKE na inaonekana kila mtu anaweza kuwa rais wa Tanzania. Inaelekea nchi hii haina hata JOB DESCRIPTION YA URAIS
Makinda amepotesa adhi ya kuwa MAMA kama anaruhusu au anaendelea kuongoza bunge la wauza mihadarati. Akipata nchi nadhani mihadarati itaruhusiwa kuuzwa baa. Haiwezekani na hainiingi akirini kuona mtu mnafiki kama makinda watu wanampigia upatu wa kuwa rais. Mtu anayepindisha kanuni mchana kweupe ili nchi iende pabaya leo apewe kiti kikubwa cha maamzi si ndo twafa!!!!hivi, Mbowe, Mnyika, Rose Kamili, Halima Mdee, Sugu, Msigwa, Ndesamburo na wengine ndani ya CHADEMA, wana uwezo wa kumzidi Mama Makinda? acheni dharau jamani
mwanamke wa jembe nani mkuu?Makinda ni mwanamke wa shoka, we utabaki na wivu wako hapo
Uwezo wa makinda kiuongozi ni mkubwa sana. Unaweza kulinganishwa viongozi kumi wa upinzani wakiunganishwa kwa pamoja, ie 1 makinda = 10 opposition men leaders tena wa huku bara.
mkuu hivi akili ni degree? Vipi kina chenge akili yake inamsaidia nin?hahahaaaaa, usitake ncheke. chadema ndo kuna akili ndogo. mwenyekiti ni form four, katibu mkuu ana degree ya kanisa, information and publicity naye ni hovyo. halafu hao ndo wanaongoza maprofessor kama Abdallah Safari. chama kimelaaniwa hiki!
mkuu, kuna watu humu jf wamejidharau hali ambayo inawafanya wadharau na watu wengine