Mwandosya: Kulikoni? Arudi tena India, Dr Mwakyembe achungulia ofisi

Waziri wa maji mh. Mark Mwandosya amerudi tena nchini india kulikoni, serikali mpaka leo ipo kimya juu ya ungonjwa wake tatizo liko wapi? na Dr. Mwakyembe nae hajaenda ofisini hadi leo japo alichungulia ofisi siku moja?

Source majira ya leo

Hapo kwenye red, hivi unauliza chooni kuna nuka nini?
 
Kwa ukaribu wake na JK?......Sidhani

ENZI+zetu.jpg

chartered jet,..hela yao wanairudisha sasa hivi,.especially huu muhula wa mwisho.
 
Ugonjwa wa watu wengine unawahusu nini?
Serikali inajua wanachoumwa ndio maana inagaramia matibabu. Kwa nini msijali mambo yenu kuliko kufuatilia ya wenzenu. Kwani Rais aliyewateua hana akili?
 
Waziri wa maji mh. Mark Mwandosya amerudi tena nchini india kulikoni, serikali mpaka leo ipo kimya juu ya ungonjwa wake tatizo liko wapi? na Dr. Mwakyembe nae hajaenda ofisini hadi leo japo alichungulia ofisi siku moja?

Source majira ya leo

Mimi siyo DR. lakini kwa kuona hali ya mh. Mwandosya na namna ambavyo watu hawa wawili walivyokuwa wanapenda kufanya kazi naomba niseme watanzania tuwaombee wenzetu kwa mungu waweze kupona. hali si shwari wanaumwa!!!
 
Mbona huwa nasikia JK alimpa Mwandosya uwaziri kwa shinikizo?

Haya mambo ya kusikia yana faida yake lakini kwa mtu makini na aliye na uwezo mkubwa wa kuchanganya na akili yake mithili ya mfano wa mbayumbayu (mh.rais JK)
 
Ni kwanini wasiombe kujiuzulu sababu ya Ugonjwa? wakipona wasema wako Tatari kulitumikia taifa tena?
 
Mimi siyo DR. lakini kwa kuona hali ya mh. Mwandosya na namna ambavyo watu hawa wawili walivyokuwa wanapenda kufanya kazi naomba niseme watanzania tuwaombee wenzetu kwa mungu waweze kupona. hali si shwari wanaumwa!!!

I dont know what I can do to get access to him for I have specific instructions for Mwandosya...kama ana ndugu yake hapa naomba uni inbox namba yake na umwandae ki-psychology maana this has nothing to do with kitu chochote zaidi ya spiritual instructions...
 
inawezekana after being discharged akaandikiwa na follow ups,ndiyo maana amerudi huko tena
 
Hivi ugonjwa wa Waziri hadi ufikie wa muda gani ndipo atakapoombwa kuachia ngazi?

Hapo chacha .

Hii inaonyesha kuna vyeo vingine ni watu kwenda kusoma mgazeti ofisini na zadi ya hapo ni kujibu maswali wakiwa bungeni na wengi majibu wanayotoa ni ya kuandikiwa hawana uhakika na etalied information za wizara zao.
 
Anaogopa kukosa marupurupu ya "Uwaziri" pindi atakapojiuzulu!
- matibabu BURE
- nyumba BURE
- usafiri BURE
- Bill za maji/umeme/simu/e.t.c BURE
- Hata nguo BURE!
 
Kwani hii picha ya mwaka gani?

JK kaanza kula bata long time sana, i wonder lini alianza kuwa na mawazo ya urais.

Circa 1992......JK akiwa waziri na Prof akiwa katibu mkuu..guess where?...maji,madini na nishati....ndio mwaka mgao wa umeme ulianza rasmi
 
Waziri wa maji mh. Mark Mwandosya amerudi tena nchini india kulikoni, serikali mpaka leo ipo kimya juu ya ungonjwa wake tatizo liko wapi? na Dr. Mwakyembe nae hajaenda ofisini hadi leo japo alichungulia ofisi siku moja?

Source majira ya leo

Wapi jason bourne?
 
Circa 1992......JK akiwa waziri na Prof akiwa katibu mkuu..guess where?...maji,madini na nishati....ndio mwaka mgao wa umeme ulianza rasmi
Gaadamnit!

Kumbe wala nchi ni wale wale?

Na kumbe alituongopea aliposema uzalishaji umeme umeongezeka, no wonder kuna mwana JF alisema haku put into consideration kuwa mahitaji nayo yameongezeka na uzalishaji haukidhi mahitaji hayo.

Are you serious mkuu kwamba hicho ndo kipindi mgao wa umeme ulianza?

Topical akija hapa atasema hiyo kazi ya mwalimu lol
 
Gaadamnit!

Kumbe wala nchi ni wale wale?

Na kumbe alituongopea aliposema uzalishaji umeme umeongezeka, no wonder kuna mwana JF alisema haku put into consideration kuwa mahitaji nayo yameongezeka na uzalishaji haukidhi mahitaji hayo.

Are you serious mkuu kwamba hicho ndo kipindi mgao wa umeme ulianza?

Topical akija hapa atasema hiyo kazi ya mwalimu lol

JK alianza unaibu uwaziri 1989.....na akaukwaa uwaziri kamili toka kwa Mzee Al-Noor Kassum 1992.....immediately mgao ukaanza na haujaisha mpaka leo......nadhani ana maslahi sana na wizara hii....toka amaekuwa Rais yafuatayo yametokea
  • ni wizara hii hii imemwangusha Lowassa na kundelea kuitikisa serikali hadi sasa
  • mawaziri wote aliowateua ni watu wa karibu sana na yeye( MSABAHA, KARAMAGI na sasa NGELEJA)
  • Jairo?
 
Ugonjwa wa watu wengine unawahusu nini?
Serikali inajua wanachoumwa ndio maana inagaramia matibabu. Kwa nini msijali mambo yenu kuliko kufuatilia ya wenzenu. Kwani Rais aliyewateua hana akili?

Do you have any idea how much is this costing our country? we need to have something in our new katiba, ingekuwa secta binafsi hao bado wangeendelea kupata mishahara full na marupurupu without working?

sheria za kazi zikoje? ukiumwa zaidi ya miezi mitatu nusu mshahara, miezi sita out of work!!!
 
Back
Top Bottom