LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Wapi jason bourne?
Atakuja!
Wapi jason bourne?
Nafikiri tunapowaza mabadiliko ya katiba tuwaze pia muundo wa utawala katika wizara zetu...Waziri,Naibu,Katibu Mkuu,Naibu Katibu mkuu....kwa kazi zipi? Hapo kila mmoja kwa mwezi anatumia hela nyingi sana za posho,mafuta,matibabu,mshahara,mawasiliano na mengineyo....na tuweke utaratibu wa watu kulazimishwa kujiuzulu na sheria pale anaposhindwa majukumu yake kwa muda fulani.
Waziri wa maji mh. Mark Mwandosya amerudi tena nchini india kulikoni, serikali mpaka leo ipo kimya juu ya ungonjwa wake tatizo liko wapi? na Dr. Mwakyembe nae hajaenda ofisini hadi leo japo alichungulia ofisi siku moja?
Source majira ya leo
Circa 1992......JK akiwa waziri na Prof akiwa katibu mkuu..guess where?...maji,madini na nishati....ndio mwaka mgao wa umeme ulianza rasmi
Circa 1992......JK akiwa waziri na Prof akiwa katibu mkuu..guess where?...maji,madini na nishati....ndio mwaka mgao wa umeme ulianza rasmi