Mwandosya avishukuru vyama vya upinzani

Mwandosya avishukuru vyama vya upinzani

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,606
Reaction score
62,359
Kasema kuumwa kwake kumemuwezesha kujua aliishije na watu vilevile watu wanamchukuliaje. amefarijika jinsi watu walivyokuwa wakiulizia hali yake jinsi anavyo endelea na wengine kumtakia apone halaka. kawashukuru wote waliomtakia heri. amesema ugonjwa wake utabaki kuwa siri yake na doctor wake. Mia
 
Kasema kuumwa kwake kumemuwezesha kujua aliishije na watu vilevile watu wanamchukuliaje. amefarijika jinsi watu walivyokuwa wakiulizia hali yake jinsi anavyo endelea na wengine kumtakia apone halaka. kawashukuru wote waliomtakia heri. amesema ugonjwa wake utabaki kuwa siri yake na doctor wake. Mia

mkuu mbona kichwa cha habari na habar yenyewe haviendan???

Ngoja niludie tena kusoma .
 
Kasema kuumwa kwake kumemuwezesha kujua aliishije na watu vilevile watu wanamchukuliaje. amefarijika jinsi watu walivyokuwa wakiulizia hali yake jinsi anavyo endelea na wengine kumtakia apone halaka. kawashukuru wote waliomtakia heri. amesema ugonjwa wake utabaki kuwa siri yake na doctor wake. Mia

Jaribu kuleta Hoja zenye mshiko, kicha cha habari na habari ni tofauti kabsaaa. 200! sio 100!
 
Kilichobaki mzee Mwandosya Jivue Gamba tu!!
 
Ndiyo matatizo ya kupost thread ukiwa Internet cafe. No link between kichwa cha habari na habari yenyewe!
 
Ndiyo matatizo ya kupost thread ukiwa Internet cafe. No link between kichwa cha habari na habari yenyewe!

Tumbiri a.k.a ngedere ulikuja na mkwara mzito juu ya akina mwita25,faizafoxy,malaria sugu,topical..ulipotelea wapi au ban ilikuhusu tena?
 
Tumbiri a.k.a ngedere ulikuja na mkwara mzito juu ya akina mwita25,faizafoxy,malaria sugu,topical..ulipotelea wapi au ban ilikuhusu tena?
Teh teh teh teeeeh!! Umenikumbusha mkuu, jamaa alikuja kwa mkwara mnene halafu kapiga kimyaaa!! Nadhani nae aliongwa suti!!!
 
Kasema kuumwa kwake kumemuwezesha kujua aliishije na watu vilevile watu wanamchukuliaje. amefarijika jinsi watu walivyokuwa wakiulizia hali yake jinsi anavyo endelea na wengine kumtakia apone halaka. kawashukuru wote waliomtakia heri. amesema ugonjwa wake utabaki kuwa siri yake na doctor wake. Mia

Prof mwandosywa naye anakuwa kama siyo msomi. Au ndio uzee huo.
Yaani hajui kuugua ni sawa na kufa au nusu kifo . Hata adui yako atakusifia au kukupa pole na kuta rambi rambi.

Kama kweli hayo maneno Prof mzima anafanya tatahmini ya maisha yake na jamii kwa kutumia ugonjwa basi. basi kazi ipo. Au hajui kuwa sio wote "tuliokuwa" tunaulizia afya yake "tuliuzia" tukitaka kupata feedback nzuri.........

Huuu ni mtazamo wangu jamani na namtakia afya njema
 
Naendelea kukuombea kwa Mungu azidi kukupa afya njema na uendelee kutumikia Taifa letu
 
Anapaswa amshukuru mungu pekee.
 
Ndiyo matatizo ya kupost thread ukiwa Internet cafe. No link between kichwa cha habari na habari yenyewe!

nimeamini kweli wewe ni TUMBILI. Yaani haujui habari mwendelezo? Heading inajitosheleza. Kashukuru watu wote walio muombea heri wakiwemo watu walio kwenye vyama vya upinzani. au haujui kama vyama vya upinzani vina watu?. Magamba wagumu wa kuelewa. nmeshakutafunia hata kumeza unashindwa? pole sana. Mia
 
Tatizo la viongozi wa kiafrika ni kuifanya kila kitu kuwa siri. Huyu mpendwa wetu Mwondosya anapotuambia kwamba chanzo cha ugonjwa itabakia ni siri yake na Dr. Wake, anamaanisha kwamba hata mke hajamwambia chanzo cha ugonjwa uliotaka kumua. Mbona wenzetu weupe mambo yao wanayaweka nje nje na hicho kitu hakiwaadhiri kwa jambo lolote. Dunia ya leo imestaarabika sana, tuache upirimitive.
 
Kasema kuumwa kwake kumemuwezesha kujua aliishije na watu vilevile watu wanamchukuliaje. amefarijika jinsi watu walivyokuwa wakiulizia hali yake jinsi anavyo endelea na wengine kumtakia apone halaka. kawashukuru wote waliomtakia heri. amesema ugonjwa wake utabaki kuwa siri yake na doctor wake. Mia

Kama kweli amesema kuwa ugonjwa ni siri yake na Dakta wake basi mimi namwita mbinafsi. Wakati mwingine watu wanakuwa interested kufahamu unaumwa nini ili nao waweze kujua ni jinsi gani wachukue tahadhari ili wasiumwe kama wewe. Nadhani kama ugonjwa ni siri yake basi hata huko kuumwa kwake kulitakiwa kuwe siri, unless kama ana Ukimwi (unaochukuliwa kuwa ni ugonjwa wa siri)..!
 
Kama kweli amesema kuwa ugonjwa ni siri yake na Dakta wake basi mimi namwita mbinafsi. Wakati mwingine watu wanakuwa interested kufahamu unaumwa nini ili nao waweze kujua ni jinsi gani wachukue tahadhari ili wasiumwe kama wewe. Nadhani kama ugonjwa ni siri yake basi hata huko kuumwa kwake kulitakiwa kuwe siri, unless kama ana Ukimwi (unaochukuliwa kuwa ni ugonjwa wa siri)..!

kamwe hakuna siri ya wa2 wawili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom