figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,606
- 62,359
Kasema kuumwa kwake kumemuwezesha kujua aliishije na watu vilevile watu wanamchukuliaje. amefarijika jinsi watu walivyokuwa wakiulizia hali yake jinsi anavyo endelea na wengine kumtakia apone halaka. kawashukuru wote waliomtakia heri. amesema ugonjwa wake utabaki kuwa siri yake na doctor wake. Mia