Mwandosya avishukuru vyama vya upinzani

Mwandosya avishukuru vyama vya upinzani

nadhani maana yake n kuwa yeye hatasema....ila wengine watamsemelea!
 
....Jamani sasa mnataka aseme kuwa aliwekewa sumu? kuna mambo mengine hayaongeleki kwenye vyombo vya habari...

Piga kazi Prof, Taifa hili bado linakuhitaji...
 
Kama kweli amesema kuwa ugonjwa ni siri yake na Dakta wake basi mimi namwita mbinafsi. Wakati mwingine watu wanakuwa interested kufahamu unaumwa nini ili nao waweze kujua ni jinsi gani wachukue tahadhari ili wasiumwe kama wewe. Nadhani kama ugonjwa ni siri yake basi hata huko kuumwa kwake kulitakiwa kuwe siri, unless kama ana Ukimwi (unaochukuliwa kuwa ni ugonjwa wa siri)..!

Au kasahau kwamba yeye ni public figure? Nijuavyo mimi watu hawa mara nyingi ingawa hawalazimiki lakini hutoa statement juu ya magonjwa yao (hasa wale wa Ulaya na America). Fikiria wanamuziki kama Freddie Mercury na Eazy E hawa waliaanika kinachowasibu kwa public hata wanasiasa, viongozi wa kidni na wajasiriamali wa huko hufanya hivyo. Hata hivyo kwa kuwa Mwandosya ni zao la jamii yetu yenye utamaduni wa usiri basi auendeleze usiri huu ili in line with utamaduni wetu.
 
Mwandosya wananchi wa Mbeya wanashukuru kwa kuimarika afya yako Mungu akusaidie. Lakini bado wanakulaumu kwa kuipeleka mbeya kwenye utumwa, kutawaliwa na ukoloni mpya wa ccm. Mmeleta mwendawazimu kandoro hana akiri kabisa, tunaomba tuondolee laana hii mbeya siyo koloni ni eneo huru toka kuumbwa kwa ulimwengu.
 
Mkuu huyu ni MDADA mwenye heshima zake na anayejiheshimu na kuheshimika pia. Usimuhusishe na wakina papa msoffe. Mia
Si umuache aseme mwenyewe,au wewe ndio kisemeo chake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom