Huu uchambuzi wa Elias Msuya sikuusoma jana. Ngoja niusome kwa makini sasa hivi. Asanteni polisi kwa kutuhamasisha.
Ni kweli mkuu wakati mwingine polisi kwa vihere here vyao huwa wanasababisha habari ambazo zisingejulikana na wengi sasa kujulikana. Hata mimi imbebidi nitafute gazeti na kusoma makala hiyo.Huu uchambuzi wa Elias Msuya sikuusoma jana. Ngoja niusome kwa makini sasa hivi. Asanteni polisi kwa kutuhamasisha.
Huu uchambuzi wa Elias Msuya sikuusoma jana. Ngoja niusome kwa makini sasa hivi. Asanteni polisi kwa kutuhamasisha.
Haya maneno "uchochezi, uvunjifu wa amani" nk nayasikia sana yakitumiwa na serikali kukamata na kushitaki watu. Hivi mkuu ni nani kachochewa? Na baada ya kuchochewa amefanya nini cha kuvunja amani na utulivu? Hivi wananchi wa leo na elimu na akili zote walizo nazo bado mnafikiri ni watu wa kuchochewa kwamba hawawezi kufikiri na kutafakari wao wenyewe? Hili neno linatumika vibaya kubinya uhuru wa watu kujieleza. Vinginevyo toeni mifano ya watu waliochochewa na kuwa baada ya kuchochewa walifanya nini? Ni kama hilo neno "intelijensia" Hilo nalo limekuwa fasheni ya polisi kuzuia uhuru wa watu kukusanyika na kubadilishana mawazo au kujieleza. Utasikia eti mkutano umezuiwa au maandamano yamezuiwa kutoka na kupata habari za "kiintelijensia" Sasa kama umepata habari za kiintelijensia si ndiyo itakuwa vizuri kuwakamata hao watakaosababisa vurugu na kuwaacha wale wasio kuwa na shida kuendelea na mkutano wao? Mbona CCM wanamkutano 23 na polisi wamejazana Dodoma ili kukabiliana na wale watakoleta fujo na hii huenda ni baada ya kupata taarifa za kiintelijensia. Sasa jiulize kwanini hawazuii mkutano wa CCM kutokana na taarifa za kiintelijensia kuwa BAVICHA wamepanga kuwasaidia wao kuzuia mkutano wa CCM badala yake wao polisi ndio wamejazana kuulinda ni kwanini wasijazane pia kulinda mikusanyiko ya wapinzani kama wafanyavyo ya CCM baada ya kupata taarifa hizo hizo za kiintlijensia?! Ngumu kuelewa!Baadhi yetu hatukubaliani na wewe...kauli yako hapa ni ya uchochezi...ni aina ya watu ambao mnaleta hoja halafu yakitokea mnaingia mitini...ni uongo kusema nusu ya watanzania watamalizikia kwenye magereza, hii ni kauli ya uchochezi na isiyo na ukweli wowote...umekuwa 'alarmist' kwa issues ambazo ni za kawaida...sasa hivi naanza kuisoma makala hiyo, ili name nione ni kwa vipi imefanya hao Ndugu zetu waitwe na polisi, lakini ni 'uongo' kuanza kubashiri kuwa nusu ya watanzania wataishia magerezani..
Baadhi yetu hatukubaliani na wewe...kauli yako hapa ni ya uchochezi...ni aina ya watu ambao mnaleta hoja halafu yakitokea mnaingia mitini...ni uongo kusema nusu ya watanzania watamalizikia kwenye magereza, hii ni kauli ya uchochezi na isiyo na ukweli wowote...umekuwa 'alarmist' kwa issues ambazo ni za kawaida...sasa hivi naanza kuisoma makala hiyo, ili name nione ni kwa vipi imefanya hao Ndugu zetu waitwe na polisi, lakini ni 'uongo' kuanza kubashiri kuwa nusu ya watanzania wataishia magerezani..
Tuwekee article yenyewe tafadhali.View attachment 366236
Mhariri mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Frank Sanga na mwandishi wake, Elias Msuya wameitwa na polisi kuhojiwa kuhusu makala iliyochapishwa na gazeti hilo kuhusu utendaji wa jeshi hilo.
Wakati Msuya alipigiwa simu jana na kuhojiwa leo asubuhi kuhusu makala aliyoandika, Sanga ameitwa leo na tayari ameondoka ofisini kwake kwenda Kituo Kikuu cha Polisi kuitikia wito huo.
Makala hiyo ya uchambuzi yenye kichwa cha habari “Polisi na Hofu ya Watawala Kuondoka Madarakani”, ilichapishwa na gazeti hilo jana.
Chanzo: Mwananchi