TANZIA Mwandishi wa BBC Eric David Nampesya amefariki Dunia

TANZIA Mwandishi wa BBC Eric David Nampesya amefariki Dunia

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,441
Reaction score
5,238
Mwanasimba mwenzetu na mwandishi wa BBC Eric David Nampesya amefariki Dunia. Muda mfupi uliopita nimeongea na mke wake amenithibitishia kuwa Eric hatunaye.

Eric alikuwa shabiki na mpenzi mkubwa wa Simba na Liverpool ya England.
BWANA ametoa na BWANa ametwaa jina lake lihimidiwe Amen

Nampesya.jpg
 
Apumzike kwa amani..stress za simba zimemuua bora angehama mapema
 
Back
Top Bottom