Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ni lini polisi wakasema ukweli?
Ndugu hata ukikaza misuli ya shingo kuwatetea bado ukweli unabaki palepale hawa jamaa zetu wanamatatizo upstairs, hata kuongopa kisomi hawawezi.....WAPUUZI SANA....Me nahisi huko mafunzoni huwa wanaondolewaga akili hawa sio bure!:shut-mouth:Acha uongo huo wa mchana tena bila aibu. Polisi ni ndugu zenu tunawajua na bado wapo wengi tu wenye taaluma zao nzito na wameenda shule. Pale wanapopotoka tuseme ukweli kwamba wamepotoka, lakini pale ambapo mtu hana data asitake kuaminisha umma kama huyu salosalo anavyotaka kutuaminisha. Kumpiga mtu risasa si kitu kizuri waliohusika wachukuliwe hatua
Watanzania msilalamike, tulieni. Acheni polisi wafanye kazi yao! Hiyo serikali ya CCM mliiweka wenyewe madarakani. Tulieni mnyooshwe vizuri hadi hapo mtakapoondoa ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa!
Acha uongo huo wa mchana tena bila aibu. Polisi ni ndugu zenu tunawajua na bado wapo wengi tu wenye taaluma zao nzito na wameenda shule. Pale wanapopotoka tuseme ukweli kwamba wamepotoka, lakini pale ambapo mtu hana data asitake kuaminisha umma kama huyu salosalo anavyotaka kutuaminisha. Kumpiga mtu risasa si kitu kizuri waliohusika wachukuliwe hatua
Ni safari wameanza. Ngoja niwaambie ukweli kidigo kuhusu hawa Polisi, Fuatilia historia zao za maendeleo ya darasani wakiwa shuleni kwa wale waliopata kusoma japo mpaka form four tu. Ni wale ambao walikuwa hawawezi kupata swali kwa mara ya kwanza mpaka masahihisho. Au la, lazima waibie kwa mjuaji mmoja. sasa leo wako wao kwa wao wataibia wapi kama si mwendo wa makosa tu? Ukweli huu haufutiki kirahisi, ni historia imeshaandikwa.
Ni kama unaendelea kuonyesh ujinga wako kwa jazba na kutokujibu hoja mkuu. Angalia isijekuwa wewe ni mpumbvuAcha kuaminisha watu ujinga wako kwani chuki yako kwa POLISI ni kubwa kiasi hicho hata cha kutokuona mazuri ambayo wamewahi kukufanyia?usiniambie kwamba hujawahi kupata huduma ya POLISI?
Ni safari wameanza. Ngoja niwaambie ukweli kidigo kuhusu hawa Polisi, Fuatilia historia zao za maendeleo ya darasani wakiwa shuleni kwa wale waliopata kusoma japo mpaka form four tu. Ni wale ambao walikuwa hawawezi kupata swali kwa mara ya kwanza mpaka masahihisho. Au la, lazima waibie kwa mjuaji mmoja. sasa leo wako wao kwa wao wataibia wapi kama si mwendo wa makosa tu? Ukweli huu haufutiki kirahisi, ni historia imeshaandikwa.
Hakuna anayekataa kuwa polisi si ndugu zetu,labda tu unataka kubisha, lakini ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wanaoenda polisi na uwalimu ni wale wa div 1v au 111 ya mwisho,hata mitaani uwa kauli za namna hii hazikosekani 'ina maana mwanao amekosa hata ualimu au upolisi?',jaribu kufuatilia kauli hizo pindi matokeo ya mitihani ya form 4 au 6 yanapokuwa yametoka na selection imeshafanyika,kama wewe ni miongoni mwa wale wanaokandamiza keki ya taifa wenyewe sitashangaa kama hujui hili.
Ni safari wameanza. Ngoja niwaambie ukweli kidigo kuhusu hawa Polisi, Fuatilia historia zao za maendeleo ya darasani wakiwa shuleni kwa wale waliopata kusoma japo mpaka form four tu. Ni wale ambao walikuwa hawawezi kupata swali kwa mara ya kwanza mpaka masahihisho. Au la, lazima waibie kwa mjuaji mmoja. sasa leo wako wao kwa wao wataibia wapi kama si mwendo wa makosa tu? Ukweli huu haufutiki kirahisi, ni historia imeshaandikwa.
Acha uongo huo wa mchana tena bila aibu. Polisi ni ndugu zenu tunawajua na bado wapo wengi tu wenye taaluma zao nzito na wameenda shule. Pale wanapopotoka tuseme ukweli kwamba wamepotoka, lakini pale ambapo mtu hana data asitake kuaminisha umma kama huyu salosalo anavyotaka kutuaminisha. Kumpiga mtu risasa si kitu kizuri waliohusika wachukuliwe hatua
Ni safari wameanza. Ngoja niwaambie ukweli kidigo kuhusu hawa Polisi, Fuatilia historia zao za maendeleo ya darasani wakiwa shuleni kwa wale waliopata kusoma japo mpaka form four tu. Ni wale ambao walikuwa hawawezi kupata swali kwa mara ya kwanza mpaka masahihisho. Au la, lazima waibie kwa mjuaji mmoja. sasa leo wako wao kwa wao wataibia wapi kama si mwendo wa makosa tu? Ukweli huu haufutiki kirahisi, ni historia imeshaandikwa.
Acha uongo huo wa mchana tena bila aibu. Polisi ni ndugu zenu tunawajua na bado wapo wengi tu wenye taaluma zao nzito na wameenda shule. Pale wanapopotoka tuseme ukweli kwamba wamepotoka, lakini pale ambapo mtu hana data asitake kuaminisha umma kama huyu salosalo anavyotaka kutuaminisha. Kumpiga mtu risasa si kitu kizuri waliohusika wachukuliwe hatua
Acha kuaminisha watu ujinga wako kwani chuki yako kwa POLISI ni kubwa kiasi hicho hata cha kutokuona mazuri ambayo wamewahi kukufanyia?usiniambie kwamba hujawahi kupata huduma ya POLISI?
Ni safari wameanza. Ngoja niwaambie ukweli kidigo kuhusu hawa Polisi, Fuatilia historia zao za maendeleo ya darasani wakiwa shuleni kwa wale waliopata kusoma japo mpaka form four tu. Ni wale ambao walikuwa hawawezi kupata swali kwa mara ya kwanza mpaka masahihisho. Au la, lazima waibie kwa mjuaji mmoja. sasa leo wako wao kwa wao wataibia wapi kama si mwendo wa makosa tu? Ukweli huu haufutiki kirahisi, ni historia imeshaandikwa.
too much kwakweli!!!!!