Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,425
Tofauti hapa ni kwamba ISIS wanaua kwa kuchinja kama anavyochinjwa kuku kwa kuwa dini yao inawataka kufanya hivyo. Hivi watoto wadogo si watazoea kuona damu na hivyo kudhani kuchinja binadamu mwenzako ni jambo la kawaida?
Bali kuua kwa mabomu ndio sawa