cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,812
wahi wakati damu ni mbichi! usijekuta imeganda! looolIkifika mchana ntapita hapa...uzi huu unanuka damudamu hivi
wahi wakati damu ni mbichi! usijekuta imeganda! looolIkifika mchana ntapita hapa...uzi huu unanuka damudamu hivi
Shetani ni wewe tena wa mguu mmoja
Obama kichwa kinamuwanga masikini.wamewafunza,wakawapa silaha sasa wanawageuka.na hao wanaouawa ni mashushushu wao,maana mwandishi wa kawaida kwenda nchi kama syria ni kujitakia balaa.
Ni hatari sana kuamini kuwa Mungu ana kiu ya damu za watu.....What kind of God do these people worship?
Obama kichwa kinamuwanga masikini.wamewafunza,wakawapa silaha sasa wanawageuka.na hao wanaouawa ni mashushushu wao,maana mwandishi wa kawaida kwenda nchi kama syria ni kujitakia balaa.
ivi muuaji atapaa ama nae ataakufa kama wenzie tuu?
Na wale wakristo wanaokata vichwa mexico wanatumia akili ya nani?huwa wanaenda peponi wanakutana na mabikira 70 wanawagombania..hizo ndio akili za wafuasi wa mudi
Wamarekani waliwafundisha wenyewe ISIS na kuwapa siraha wampindue ASAD sasa yamewageuka. Na wapigwe tu, na mimi nasema wapigwe tu maana tumechoka na unafiki wao
Wamarekani washenzi sana,wao ndio waliosababisha iraq,syria,libya na ht afghanistan kuishi kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe,alimuua saddam bure kwa kisingizio eti ana silaha za nyuklia,wako wapi walibya waliokuwa wakiishi kwa raha nchini kwao kiliko nchi yoyote duniani unayoijua wewe,leo mmarekani anawapiganisha na kuwaua raia bila kosa lolote,mbona hajawahi kuinua mdomo kwa kuwaonya waisrail kuwaua watoto na wanawake wasio na hatia huko gaza,haya ndio malipo yenu tunakusubirini na huku iran mje mtugombanishe muone km mtaishi tena nje ya nchi yenu,wasiojua wataona waislam wanawachinja bila kosa lkn kosa limefanya nchi yao kwa kumwaga damu ndani ya nchi za watu,yuko wapi sadam na wanawe leo hii?yuko wapi gadafi na wanawe leo hii?yote hayaonekani wanaonekana hao wenye machungu ya kuvamiwa na kupiganishwa ndani ya nchi yao kuwa wao ndio wahalifu,wamarekani msipojirekebisha mtamalizwa kidogo kidogo,ajenda ya siri ya obama imejulikana na sasa ni kuwalipiza kisasi tu,haihusiani na dini na hata ukiwasikiliza ISIS wanaeleza wazi wanachowachinjia wamarekani.
Mkuu hapa kinachoongelewa (ISIS) ni mauaji kwa jina la Allah. Kwani hao wa Mexico wameshika Bible?. Acha kuchanganya mambo. Mfano Kikwete akihamulisha waandamanaji wauawe tuseme ni Uislam kwa sababu yeye ni Muislam?. Au Jambazi akiwa anaitwa Ally na akaua watu tuseme ni Uislam umeua?. Hapa tunaangalia ISIS ambao wanaua then wanaanza kulazimisha watu waishi kwa sharia za kiislam, na kusambaza Quran mtaani
Ukitaka kujua hawa jamaa ni wanyama na hawana utu hata kidogo, tafadhali tembelea hii tovuti kwa ku-click hapa
Lakini pia wameweka na sharia zao kabisa - Sharia law:
View attachment 182507
Hapo kwenye red unamaanisha mudi yupi?huwa wanaenda peponi wanakutana na mabikira 70 wanawagombania..hizo ndio akili za wafuasi wa mudi
Aisei!! umeniharibia siku, duh!! hizo picha zinatisha kishenzi. Yaani ni majanga kujua tunaishi na watu wenye imani kama hizi hata huku EAC. Yaani inanipa picha tofauti sana kila nikimuona muislamu. Dah!! hii hata shetani anawaogopa hawa.