Mwandishi aliyechinjwa na IS

Mwandishi aliyechinjwa na IS

Status
Not open for further replies.
Hata wewe unaweza kuanzisha kikundi chako ukakiita cha Kiislam ili kuupaka matope Uislam, ni nani asiyejuwa kuwa ISIS imeanzishwa na USA na washirika wao?

Jee, wewe hujuwi? tukupe data?
faiza bora usicomment kuliko kutoa hoja ya kustaajabisha kiasi hicho.
 
Hawa ISIS hawaui Wakristo au Yazidi peke yao….wanawaua hata Waislamu wa Kishia na hata Wasuni ambao hawa wasapoti….hapa ndipo unapokuta hawaeleweki hawa jamaa…Ndio maana sasa hivi Saudi Arabia, Jordan,Turkey,Irani na dunia yote sasa hivi ni tumbo joto..
Sasa hivi adui mkubwa ktk Mashariki ya kati sio tena Muisrael bali ni ISIS

Utauaje watu wasio na uwezo wa kujitetea (hawana silaha) ?.propaganda za bei nafuu, ndio maana hata Ban Ki Moon hajanunua hiyoo !
 
Wamarekani walikuwa katika imani gani wakati wanateremsha. mabomu ya Atomic katika miji ya Nagasaki na Hiroshima !?? bato
Ally Kombo nimekusoma. Hivi wamerakani walikuwa wanateremsha mabomu ili kutetea dini yao/kumpigania mungu wao? Hawa IS wanafanya haya kwa jina la imani yao. Nawe Kombo unakubaliana na haya ya IS kuchinja watu kwa kigezo cha imani?
 
Last edited by a moderator:
Ni hatari sana kuamini kuwa mungu kamwaga damu ya mwanae wa pekee kwa ajili ya wapppuzi fulani ambao hupanda Altareni kunywa Dodoma wine wakiamini wanakunywa damu !
Hawa ndio real blood sucker ! Utingo
Ally Kombo .....hata hapa ni altareni?
blood sucker.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hawa ISIS wamefadhiliwa na Wamarekani na si Uislaam uliowapa pesa na Silaha !

heheheheh kama ni kweli ningependa kuwaona wanaivamia chechniya au Urusi kama walivyosema tuone ikiwa marekani itachekelea kuthibitisha unachosema
 

Someone said that Islam is cracking within....this is a damn proof....what will happen when IS enters Lebanon between IS (Suni) and Hizbollah (Shia)...whatever they worship, it is dead!
 
Wamarekani ndio wamaliwezesha hilo kundi kwa kulitambua, kuwapa pesa na silaha !
Walikuwa wanawashabikia ili wakaue wakina nani !?? Kaduguda

Ndugu Ally Kombo Hayo uyasemayo sina uhakika nayo na sina uwezo wa kuyathibitisha. Kwamba Marekani ndio wamewawezesha hawa jamaa au la, mie sijui. Ila ninachokishuhudia na ambacho kinasikitisha na kutia kichefuchefu ni huu unyama ambao wanautenda kisha kufurahia kana kwamba wanayemchinja ni kuku au mbuzi wa nyama. Sidhani kama ni roho ya kibinadamu kuua jamaa yako achilia mbali wangekuwa ni mabedui, bali watu ambao ni raia wa kawaida kabisa tena waarabu wenzao, kisa wametofautiana kimadhehebu, hii haikubaliki kabisa.

Angalizo: Sishabikii mauaji ya aina yeyote yale kwa mtu yeyote yule! Nipendalo ni hili, watu wote waishi kwa amani basi!!
 
Last edited by a moderator:
Hata wewe unaweza kuanzisha kikundi chako ukakiita cha Kiislam ili kuupaka matope Uislam, ni nani asiyejuwa kuwa ISIS imeanzishwa na USA na washirika wao?

Jee, wewe hujuwi? tukupe data?

FaizaFoxy Hivi wewe ni mwanamke kweli ambae anaujua uchungu wa kuzaa au hili jina kwenye avatar yako ni bandia na halina uhusiano na jinsi yako? Maana unachokiandika mara nyingi kiko very controversial!! Siamini mwanamke wa kawaida anaweza support hiki kitu kinachofanywa na hawa jamaa. Kama ni maadui wao kivita si wawafuate huko USA waliko tujue kweli sasa hapa wameamua kupigana vita na adui yao kama kweli ni USA. Lakini hiki kitendo cha kuua watu wa jamii yako kisha unasema ni kwa sababu ya kuwezeshwa na USA ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu. Hivi unataka kuniambia hata wewe ukiwezeshwa na kupewa mafunzo na USA basi, unaweza anzisha kikundi chako, hasira zako na mazoezi yako ya kuua ukayafanyia kwa ndugu zako wazaramo na wanyamwezi au sio?

Sikubaliani na unyamafu unaofanywa na ISIS na yeyote yule anayeua watu wasio na hatia!
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy Hivi wewe ni mwanamke kweli ambae anaujua uchungu wa kuzaa au hili jina kwenye avatar yako ni bandia na halina uhusiano na jinsi yako? Maana unachokiandika mara nyingi kiko very controversial!! Siamini mwanamke wa kawaida anaweza support hiki kitu kinachofanywa na hawa jamaa. Kama ni maadui wao kivita si wawafuate huko USA waliko tujue kweli sasa hapa wameamua kupigana vita na adui yao kama kweli ni USA. Lakini hiki kitendo cha kuua watu wa jamii yako kisha unasema ni kwa sababu ya kuwezeshwa na USA ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu. Hivi unataka kuniambia hata wewe ukiwezeshwa na kupewa mafunzo na USA basi, unaweza anzisha kikundi chako, hasira zako na mazoezi yako ya kuua ukayafanyia kwa ndugu zako wazaramo na wanyamwezi au sio?

Sikubaliani na unyamafu unaofanywa na ISIS na yeyote yule anayeua watu wasio na hatia!

Mmarekani kaua wangapi wasio na hatia !? ..........Mayahudi je !?? NATO walipokuwa wanaivuruga Libya mlikuwa wapi !?
au wengine ni watu na wengine viatu ?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Ally Kombo Hayo uyasemayo sina uhakika nayo na sina uwezo wa kuyathibitisha. Kwamba Marekani ndio wamewawezesha hawa jamaa au la, mie sijui. Ila ninachokishuhudia na ambacho kinasikitisha na kutia kichefuchefu ni huu unyama ambao wanautenda kisha kufurahia kana kwamba wanayemchinja ni kuku au mbuzi wa nyama. Sidhani kama ni roho ya kibinadamu kuua jamaa yako achilia mbali wangekuwa ni mabedui, bali watu ambao ni raia wa kawaida kabisa tena waarabu wenzao, kisa wametofautiana kimadhehebu, hii haikubaliki kabisa.

Angalizo: Sishabikii mauaji ya aina yeyote yale kwa mtu yeyote yule! Nipendalo ni hili, watu wote waishi kwa amani basi!!

Dunia haitatokea kuwa na Amani mpaka watu wenye akili za Kiyahudi na Kimarekani watakapokuwa hawapo Duniani
Kwa taarifa yako:
1. Talibani imeundwa na Wamarekani na kufadhiliwa fedha, silaha na mafunzo ikisaidiwa na Pakistan.

2. ISIS Imeundwa na Wamarekani na hayo yamezungumzwa hadharani bila ya kificho na Wamrekani. Ikiwa pamoja na kuitangazia Dunia kuwa wamewafungulia Account na uongozi wao unatambuliwa na Washington.

3. Uchokozi, chokochoko, na fitna juu ya Ukraine imenzishwa na Wamarekani na EU kwa kuishawishi na kutafuata influence katika nchi inayo share boarder na Russia.
Kaduguda habari ndio hiyoo !
 
Last edited by a moderator:
Someone said that Islam is cracking within....this is a damn proof....what will happen when IS enters Lebanon between IS (Suni) and Hizbollah (Shia)...whatever they worship, it is dead!

Lebanon walishapigana Wanamgambo wa Kiislaam na Wanamgambo wa Kikiristu. Mpaka leo mipaka yao ni mitaa tu ! Ili kuwa ni vita ya mtaa kwa mtaa !
 
Dunia haitatokea kuwa na Amani mpaka watu wenye akili za Kiyahudi na Kimarekani watakapokuwa hawapo Duniani
Kwa taarifa yako:
1. Talibani imeundwa na Wamarekani na kufadhiliwa fedha, silaha na mafunzo ikisaidiwa na Pakistan.

2. ISIS Imeundwa na Wamarekani na hayo yamezungumzwa hadharani bila ya kificho na Wamrekani. Ikiwa pamoja na kuitangazia Dunia kuwa wamewafungulia Account na uongozi wao unatambuliwa na Washington.

3. Uchokozi, chokochoko, na fitna juu ya Ukraine imenzishwa na Wamarekani na EU kwa kuishawishi na kutafuata influence katika nchi inayo share boarder na Russia.
Kaduguda habari ndio hiyoo !

kwa hiyo unataka kusema taliban na ISIS SIO WAISLAMU?
 
Huo ndio uislamu! Kama hamtaki siwalazimishi! Ilaha nyie masuni mtakiona kitu mbaya watakacho wafanyia shia. vise versa!
 
Ally Kombo nimekusoma. Hivi wamerakani walikuwa wanateremsha mabomu ili kutetea dini yao/kumpigania mungu wao? Hawa IS wanafanya haya kwa jina la imani yao. Nawe Kombo unakubaliana na haya ya IS kuchinja watu kwa kigezo cha imani?

Nani alikuambia ISIS wanaupigania Uislaam !?...........Dini ni chambo tu cha kuwapa wao umoja wakiwa kundi na kujitofautisha wazi na adui zao.
Kwanini Wamarekani wanakerekwa sana kwa nchi yeyote ya Kiislaam kujiita Taifa la Kiislaam !?.........inawakera au kuwapunguzia nini ?
ISIS hawatetei Uislaam, Uislaam upo na utasimama wenyewe bi idhin'allah.
Hakuna Muislaam ameshindwa kuswali, kufunga, kuhiji, kutoa zaka, mambo ambayo ndo ya msingi kwa Muislaam. Hao jamaa wana ajenda ya kisiasa sawa na mwanasiasa anayetumia ukabila kusavaiv !
Mfano wa wazi wa siasa za Kenya. Kabila fulani linaungana na fulani na wanajuana idadi ya kila kabila na ushindi unathibitishwa. Kabila nyingine zikiona zimezidiwa ni vita !
Hakuna tofauti na Shia, Sunni, Ukiristu au Uislaam ! bato
 
Last edited by a moderator:
Huo ndio uislamu! Kama hamtaki siwalazimishi! Ilaha nyie masuni mtakiona kitu mbaya watakacho wafanyia shia. vise versa!

Uislaam unaotangazwa na Makafiri kama mgen !
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom