Mwandishi aliyechinjwa na IS

Mwandishi aliyechinjwa na IS

Status
Not open for further replies.
kwa hiyo unataka kusema taliban na ISIS SIO WAISLAMU?

Unataka kusema Wahutu na Watusi si Wanyarwanda !?
Kwahiyo Wamarekani wamewapa Silaha ISIS na Talibani kupigania Uislaam !??
Assad wa Syria ni mtu anayezuia Uislaam !?
Talibani wanapigana na NATO na Karzai ili kueneza Usilaam Afghanistan !? jMali
 
Last edited by a moderator:
Unataka kusema Wahutu na Watusi si Wanyarwanda !?
Kwahiyo Wamarekani wamewapa Silaha ISIS na Talibani kupigania Uislaam !??
Assad wa Syria ni mtu anayezuia Uislaam !?
Talibani wanapigana na NATO na Karzai ili kueneza Usilaam Afghanistan !? jMali

Nimeona unayumbayumba ovyo, elewa
- Mkristo anapofanya vituko, sisi huwakemea ilhali ninyi wenzenu wanapochinja mnawapongeza, sasa wacha kupoteza muda wako ukileta mambo yaliyofanywa na watu wa Kikristo maana sio sera kama ilivyo kwenu.
 
Si ajabu waandishi wakiuwawa. Mara nyingi huwaga ni vibaraka wa upande flan
 
Lebanon walishapigana Wanamgambo wa Kiislaam na Wanamgambo wa Kikiristu. Mpaka leo mipaka yao ni mitaa tu ! Ili kuwa ni vita ya mtaa kwa mtaa !

Sasa mkuu IS ni Suni, Shea ni adui kwao...na Lebanon (Hizbolla) ni shea...wakifika huko itakuwaje?
 
FaizaFoxy Hivi wewe ni mwanamke kweli ambae anaujua uchungu wa kuzaa au hili jina kwenye avatar yako ni bandia na halina uhusiano na jinsi yako? Maana unachokiandika mara nyingi kiko very controversial!! Siamini mwanamke wa kawaida anaweza support hiki kitu kinachofanywa na hawa jamaa. Kama ni maadui wao kivita si wawafuate huko USA waliko tujue kweli sasa hapa wameamua kupigana vita na adui yao kama kweli ni USA. Lakini hiki kitendo cha kuua watu wa jamii yako kisha unasema ni kwa sababu ya kuwezeshwa na USA ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu. Hivi unataka kuniambia hata wewe ukiwezeshwa na kupewa mafunzo na USA basi, unaweza anzisha kikundi chako, hasira zako na mazoezi yako ya kuua ukayafanyia kwa ndugu zako wazaramo na wanyamwezi au sio?

Sikubaliani na unyamafu unaofanywa na ISIS na yeyote yule anayeua watu wasio na hatia!

Ewe punguani ni wapi nilipo "support", nisome vizuri. Unaonesha hata nilichokiandika hukukisoma au ukisoma huelewi?

Ikiwa unasema na huelewi unachokisema "very controversial" nikiandikacho ni kipi?
 
Hawa ISIS wamefadhiliwa na Wamarekani na si Uislaam uliowapa pesa na Silaha !
Kwa nini mnashindwa kuwalaani ISIS kwa ushenzi (barberians) badala yake mnakua wepesi kuilaumu amerika. Kwani ni dhambi kumlaani mtu anayefanya ushenzi katika jina la uislaam? Hivi mtu akikutuma kumkata mtu kichwa ukitekeleza nani anaonekana mkatili?
 
Kwa nini mnashindwa kuwalaani ISIS kwa ushenzi (barberians) badala yake mnakua wepesi kuilaumu amerika. Kwani ni dhambi kumlaani mtu anayefanya ushenzi katika jina la uislaam? Hivi mtu akikutuma kumkata mtu kichwa ukitekeleza nani anaonekana mkatili?

Aliyetekeleza huo ukatili. Imagine kumkata mtu kichwa na kukiweka mgongoni. Anayefanya hilo jambo anakosa sifa ya kuitwa binadamu na anakuwa binshetani.
 
Unataka kusema Wahutu na Watusi si Wanyarwanda !?
Kwahiyo Wamarekani wamewapa Silaha ISIS na Talibani kupigania Uislaam !??
Assad wa Syria ni mtu anayezuia Uislaam !?
Talibani wanapigana na NATO na Karzai ili kueneza Usilaam Afghanistan !? jMali

1. wahutu na watusi ni makabila sio imani, unyarwanda ni utaifa, lakini Uislamu ni DINI!
2. Hili swali lako nalinukuu: "Talibani wanapigana na NATO na Karzai ili kueneza Usilaam Afghanistan !?" sijui nilijibu vipi maana kwa kila mwenye ufahamu anafahamu kuwa Talibani ina lengo lile lile la ISIS, la kuleta utawala wa sharia. Hili kama utabisha nadhani nitakuacha uwe umeshinda!
CC: FaizaFoxy
 
1. wahutu na watusi ni makabila sio imani, unyarwanda ni utaifa, lakini Uislamu ni DINI!
2. Hili swali lako nalinukuu: "Talibani wanapigana na NATO na Karzai ili kueneza Usilaam Afghanistan !?" sijui nilijibu vipi maana kwa kila mwenye ufahamu anafahamu kuwa Talibani ina lengo lile lile la ISIS, la kuleta utawala wa sharia. Hili kama utabisha nadhani nitakuacha uwe umeshinda!
CC: FaizaFoxy

Tatizo lako liko wapi wao wakisimamisha Taifa la Kiislaam katika nchi yao na ardhi yao ?
Why iwe ni tatizo kwa NATO ?........why liwe tatizo kwako ?
Ndio maana nimekuuliza 'Karzai anazuia Uislaam usienezwe Afghanistan ?
acha kujitoa fahamu !
 
Aliyetekeleza huo ukatili. Imagine kumkata mtu kichwa na kukiweka mgongoni. Anayefanya hilo jambo anakosa sifa ya kuitwa binadamu na anakuwa binshetani.

Na mtu anayepiga Bomu la Atomic na akaugeuza mji chini juu, naye ana sifa gani ? kinauche
 
Last edited by a moderator:
Dunia haitatokea kuwa na Amani mpaka watu wenye akili za Kiyahudi na Kimarekani watakapokuwa hawapo Duniani
Kwa taarifa yako:
1. Talibani imeundwa na Wamarekani na kufadhiliwa fedha, silaha na mafunzo ikisaidiwa na Pakistan.

2. ISIS Imeundwa na Wamarekani na hayo yamezungumzwa hadharani bila ya kificho na Wamrekani. Ikiwa pamoja na kuitangazia Dunia kuwa wamewafungulia Account na uongozi wao unatambuliwa na Washington.

3. Uchokozi, chokochoko, na fitna juu ya Ukraine imenzishwa na Wamarekani na EU kwa kuishawishi na kutafuata influence katika nchi inayo share boarder na Russia.
Kaduguda habari ndio hiyoo !

weka viambatanisho na sisi tuujue ukweli..
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini mnashindwa kuwalaani ISIS kwa ushenzi (barberians) badala yake mnakua wepesi kuilaumu amerika. Kwani ni dhambi kumlaani mtu anayefanya ushenzi katika jina la uislaam? Hivi mtu akikutuma kumkata mtu kichwa ukitekeleza nani anaonekana mkatili?

Wewe ungewalaumu waamerika kwa kuwa mobilize ISIS na kuwapa pesa na silaha !.............walipewa silaha wamuue nani ?!
 
weka viambatanisho na sisi tuujue ukweli..

Kwani wewe uko Dunia gani ?
Hujui kuwa ISIS ndio wanaopigana na Assad kule Syria ?........walichofanya ni kubadilisha malengo na kumuudhi Mfadhili wao Amerika.

Rais wa Ukraine leo alikuwa na mkutanao wa round table, ana kwa ana na Obama na David Cameroun

Maana ya Taliban ki Pashtun ni Wanafunzi !..........Pakistan kwa msaada wa Marekani walikuwa wakichua vijana (Taliban) kutoka Afghan kama wanafunzi wa Dini, badala yake wakawa wanapewa mafunzo ya Kijeshi kupamabana na Mrusi. Wamerekani waliwahi kuwapa silaha mpya kabisa ikaenda kutumika Afghanistan kutungua Helcopter za Mrusi ikiwemo Apache. Hata Rambo (Silvestre Stallone ) amewahi. kucheza picha kuonyesha kuwaunga mkono Talibani
Mrusi akajitoa, lakini na yeye aliunda kundi lililoitwa Northern Alliance likiongozwa na Masoud Masoud
Hili kundi ndio baadae likaungwa mkono na Amerika kuwatoa Taliban na Karzai alipatikana kupitia huko !
 
Kwani wewe uko Dunia gani ?
Hujui kuwa ISIS ndio wanaopigana na Assad kule Syria ?........walichofanya ni kubadilisha malengo na kumuudhi Mfadhili wao Amerika.

Rais wa Ukraine leo alikuwa na mkutanao wa round table, ana kwa ana na Obama na David Cameroun

Kiuhalisia nipo dunia uliyopo wewe ila kifikra huenda tupo dunia tofauti , ili niwe pamoja nawe weka ushahidi nami nipate kuwajua ISIS wanamtumikia nani hasa , na wapo kwa malengo gani. Kuliko kutuhumu kitu cha kufikirika na kisichokuwa na uthibitisho.
 
Kiuhalisia nipo dunia uliyopo wewe ila kifikra huenda tupo dunia tofauti , ili niwe pamoja nawe weka ushahidi nami nipate kuwajua ISIS wanamtumikia nani hasa , na wapo kwa malengo gani. Kuliko kutuhumu kitu cha kufikirika na kisichokuwa na uthibitisho.

Unanishangaza kama hujui Isis ndio kundi ambalo linapigana na Assad pale Syria na Marekani ndio watu wa kwanza kuwanga mkono, na hili limefanyika hadharani, ikiwa na pamoja na kualikwa Washington, Israel imewahi mara zaidi ya mbili kuwapa support pale walipozidiwa na Jeshi la Assad kwa kutuma ndege na kupiga Target muhimu. Waliacha pale Mrusi alipowaambia Waisrael kuwa watawauzia Syria makombora ya kutungua ndege ambayo ni kiboko kwa ndege za Muisrael.
 
Marekani amejitengenezea maadui wengi sana shauri ya ujeuri wake.
 
Jamaa linasaporti mauaji kwa mlango wa nyuma UJINGA mtupu.
Tatizo lako liko wapi wao wakisimamisha Taifa la Kiislaam katika nchi yao na ardhi yao ?
Why iwe ni tatizo kwa NATO ?........why liwe tatizo kwako ?
Ndio maana nimekuuliza 'Karzai anazuia Uislaam usienezwe Afghanistan ?
acha kujitoa fahamu !
 
Jamaa linasaporti mauaji kwa mlango wa nyuma UJINGA mtupu.

Kuna uzi katika hili jukwaa umeletwa na unaelezea chanzo cha ISIS na nani madhili wao ! ............tafadhali ipitie Echolima ndo uttajua nani ana support mauaji !
 
Last edited by a moderator:
Uislaam unaotangazwa na Makafiri kama mgen !
mukulu kwema? Walahi hao ni waumini wa muhamMad! wee kombo unaitaka sardaus bila kuua hata kafir.1? teh teh teh! qaraa kabla haija pigwa Ban inajipiga Ban yenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom