Mmekuja na gia mpya Sasa..
We are important ila ndo wanatupiga na vitu vizito kisogoni..😂
Anyway but nimependa ushauri wa tule vizuri, mazoezi na tuvae vyema,tutafute na hela ila Kuna wadada wanakutesa hata ukiwa na hivyo vyote I mean unateswa wewe na hela zako, kula yako,mazoezi yako na ndevu zako!
Tuishi nao kwa akili tu.
Tumeshaistukia hii janjajanja ya kutafuta mshiko wa Christmas na Mwaka mpyaNawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
View attachment 2031120
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Una graduate Leo mama?Nawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
View attachment 2031120
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Huyohuyo happy alishawahi nitenda mpaka nikamuendea kwa mganga, Friday ndo simjui..😅🤣🤣🤣🤣
Happy friday KENZY
Changamoto mapokeo, unaweza sema jambo kwa nia njia wenzio wakaligeza mbele nyuma na nyuma mbele likawa tofauti kabisaaaaaaaa na mtoa mada ukaonekana kituko, asante kwa kujua thamani ya mwanaume bado tunapambana sana ,Nawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
View attachment 2031120
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Kwani alikuwa mganga basi! Mganga mwenyewe hata kabla sijafika kwake nikaambiwa nae kaachwa na mkewe jana yake nikaona naenda kuongeza tatizo nikatuliza figo zangu.Hapo kwa mganga ndio ulipoharibu😀😀
Changamoto mapokeo, unaweza sema jambo kwa nia njia wenzio wakaligeza mbele nyuma na nyuma mbele likawa tofauti kabisaaaaaaaa na mtoa mada ukaonekana kituko, asante kwa kujua thamani ya mwanaume bado tunapambana sana ,
Leo ni HOTFRIDAY
Natumia fursa hi pia kutakia mke wangu bonge na mabonge wengine ijuuma kareem, tumawapenda sanaa, japo mnakua wazito kwenye 6×6 ila tunawapenda sana tulisha kubaliana na hali zenu.Nawatakia ijumaa njema kwenu wanaume wote wabeba majukumu ya uanaume, watufataji, wenye upendo na huruma.
Mjue tuu nyie ni wa thamani sana
View attachment 2031120
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu na yenye amani na furaha tele. Amani yenu ndio furaha yetu
Nikajua labda hyo huruma yko kwetu Kuna ka bomu unataka umfyatue shemeji kwa ajili ya vimiminika mana Leo weekend na graduation ceremony ni nyiiiiingiiiiiKu graduate nini engineer7339550?